Wanaume huwa mnakosea hapa!

Wanaume huwa mnakosea hapa!

Tatizo jingine wanawake wa Dunia hii hawjui kusoma nyakati ! Unaweza mpenda na ukampa kila kitu ambavyo hata ndugu zako hujawahi wapa lakn ikawa kazi bure
Hamna shida nenda kaoe wa mars, case closed.
 
kha!

kumbe kuna orodha ya ambayo wanaume wanapenda wafanyiwe?. Basi sawa.

Yote kwa yote, hizi siasa za mapenzi ndio zinasababisha akina dada na akina kaka wasifurahie mahusiano ya mapenzi. Maana mahusiano ya mapenzi hayahitaji hizi siasa hata.
Yanahitaji nini?
 
Huo Ndo Ukweli.Mwanamke ana nafasi kuubwa sana ya kufupisha maisha yako aliamua.Fanya utafiti.Wanaume wengi wanakufa vifo vya ajabu Tena mke akisema Ni pressure ya kupanda NA kushuka Nani anafanya postmotam.. unazikwa Asubuiii NA mapema.So punguzeni mapepe
Roho zenu mbaya tu kuua.
 
Helloo

Asante kwa majibu ya bashasha.
Hata hivyo niruhusu niweke kumbukumbu sawa.
1. Mchepuko/Michepuko sio habari mpya hapa duniani. Mahusiano haya yapo toka dahari. Ni sawa kwa vijana wa leo kuona kwamba kizazi chao hiki kimezongwa na michepuko. Maana ndio wakati wao huu kupambana na kadhia hii. Hivyo basi, usahihi ni kwamba michepuko sio jambo (phenomenon) mpya kwenye jamii yetu.

2. Kumjali sana mwenza wako (mume ama mke) sio kinga ya mwenza wako huyo kuwa na mahusiano ya nje. Haijawahi kuwa, sio kinga wala haitokuja kuwa kinga. Wapo waliojaribu kuwachunga wenza wao, wengine walithubutu kuwawekea mitego ya kiasili. Haikusaidia. Ukweli ni kwamba, kuepuka usaliti kwenye mahusiano hakuna kanuni. Ushauri mkuu ni kujikana nafsi na kuridhika na uliye naye, pia kutii sheria za Mwenyezi mungu kuhusu mahusiano ya kimapenzi. Ingawa ushauri huu unaonekana kama ni nadharia zaidi, lakini ndio ukweli.

3. Ni kweli madhara ya fumanizi ni makubwa sana. Lakini sio sahihi kuhitimisha kwamba michepuko inasababishwa na wanaume kutowajali wenza wao. Vilevile mwanaume/wanaume wanapoanzisha mahusiano ya ziada mbali na mwenza wake, sio sahihi kuhitimisha eti chanzo ni mwanaume pekee ama chanzo ni mwanamke pekee. Ndiposa awali niliandika raha ya kuimba ni kupokezana. Maana mahusiano ya mapenzi ni zao la jitihada za mume na mke kuboresha ahadi yao ya 'nakupenda' ama "i love you'. Ahadi hii haiwezi kuboreshwa na mume pekee ama na mke pekee.

Mwisho, itoshe kusema kwamba upo ushahidi wa kimaandiko kwenye vitabu vitakatifu kwamba kosa la Adamu lilikuwa kumwacha Hawa arande rande peke yake bustanini Edeni. Huko akakutana na nyota aliyeleta ushawihi mbaya ukapelekea madhara makubwa kwa kizazi cha Adamu na Hawa. Hivyo ni kweli kwamba mwanaume anayo nafasi kubwa kumlinda mwenza wake asipotoke. Hata hivyo, pamoja na maandiko kusimama, zama za maisha zimebadilika sana. Mtazamo wa maisha kwa wake na waume umebadilika sana. Nafasi na wajibu wa wanaume na wanawake kwenye familia nao umebadilika sana. Muhimu sana ni kudhoofika kwa imani na ujasiri wa mwanadamu kuzishinda tamaa za mema ya ulimwengu. Mema yanayopatikana kwa vipande vya fedha. Fedha imekuwa fedheha. Inatuletea fadhaa. Ndio maana haiwezekani kuhitimisha moja kwa moja kwamba mwanaume afanye yafuatayo na mwanamke afanye haya ili kulinda mahusiano yao ya kimapenzi. Ndiposa napendekeza kuzingatia sheria za mwenyezi Mungu zinazoongoza maisha ya mwanadamu.

Wakatabahu.
Aksante kwa majibu Mubashara kaka yangu mpenzi kweli una Hekima NA hongera Najua WiFi yangu anafaidika NA Hekima hizi.
..Naomba nikuulize swali..Ni kwa nini Kwenye Mali za Mwanaume hutaja vyooote NA mke pia??Ni kwamba Mwanaume wewe unayo Nguvu ya Asili ya kuifanya familia yako ikawa salama NA bora.Umeonyesha Mfano mzuri sana wa Adam alipomuacha Eva anazurura Mpaka kupelekea kukutana NA nyoka akamshawishi.Mfano huo ungali hai Mpaka Leo Amini kaka yangu yote yote yaliyoandikwa Kwenye Bibilia miaka mingi iliyopita yanatimia NA ndivyo ilivyo Jana Leo NA kesho.Narudia NA sitachoka.kuelimisha.Maovu mengi yanatokea Leo hii kwa sababu Wanaume ambao ndio Vichwa vya nyumba wameacha majukumu yao.Hamjachelewa SAA Ni Sasa Badilikeni muokoe jamii.
 
Huruma wapi Wewe.Halafu Wewe Unaonekana Ni mbishi wa kujifunza.Sasa Ebu kuanzia Leo kitandani mridhishe mhudumie NA Kila kitu.Yaani hatachepuka Hata aje Trump
Hekima ya mwanamke ndiyo itakayomlinda
 
Its all about brain wash, maisha halisi hayapo hivo, otherwise uwe level za akina Mengi, wazazi wangu wanalala nyumba ya tembe, wadogo zangu wanahitaji kusoma, sijui mamdogo aliyenichangia ada anataka fadhila..... baki na na nywele zako halisi(kunyoa buku) nakuahidi sintochepuka
 
Its all about brain wash, maisha halisi hayapo hivo, otherwise uwe level za akina Mengi, wazazi wangu wanalala nyumba ya tembe, wadogo zangu wanahitaji kusoma, sijui mamdogo aliyenichangia ada anataka fadhila..... baki na na nywele zako halisi(kunyoa buku) nakuahidi sintochepuka
Soma Tena nimesa Sio lazima saloon Hata mafuta ya nywele umashindwa.Basi usilalamike.Usikwepe majukumu.
 
Mlianza vizuri mnaishia kuwa mpe kila kitu na pia umtemee sumu. ..

Kumbe si mgesema shida ni kukazw tungeelewa

Mnazungukaaa.

Huko mnakochepuka mnaenda kufanyaje kama sio kukazw

Muwe wazi care care Kumbe mwisho wa siku shida ni kusaka mpini
 
Mlianza vizuri mnaishia kuwa mpe kila kitu na pia umtemee sumu. ..

Kumbe si mgesema shida ni kukazw tungeelewa

Mnazungukaaa.

Huko mnakochepuka mnaenda kufanyaje kama sio kukazw

Muwe wazi care care Kumbe mwisho wa siku shida ni kusaka mpini
Una shida Wewe..Kha!!
 
Kwa experience hii kitu ni hulka tu ya mtu na mtu, kuna wanawake ni wavumilivu hata mwanaume afanye nini watabaki tu kuwa loyal na wengine kwa kua hivyo mpaka wana manage kusababisha guilty consciousness kumfanya mwanaume abadilishe his ways, na kuna wale ambao hata uwafanyie nini hawawezi kubadilika hususan ni wale ambao tayari kuna picha wamesha zitengeneza vichwani mwao kwa jinsi wanavyo taka kuishi especially kwenye maswala ya mapenzi. Mtoa mada hapa nnaweza kusema hii mada umeitoa kihisia zaidi kulingana na mahitaji yako ambayo ukweli ni kwamba wapo wengi hupenda kuji fariji wanapo ambiwa wanayo hitaji kuyasikia....mtazamo wangu ni kwamba itahitaji zaidi utayari wa kuingia kwenye mapenzi ya kudumu na mpenzi mmoja, lakini kama moyo haujaridhia basi ni hata umnunulie dunia nzima na maji yake bado tu ata gegedwa mahali kwengine au kama kawa... kupanga ni kuchagua

Nawasilisha
 
Siku hizi ukitaka kuwa rafiki wa wanawake, au blog yako iwe na followers wengi, wewe andika mada hizi za kuwaweka wanawake safe side, na kufunika funika madhaifu yao huku ukiwashambulia wanaume.

Naona jamaa mmoja anaitwa somebody Chriss Mauki ana generate traffic kubwa sana kwa mada za namna hii, akiandaa kasemina kamoja anaweka kiingilio Tsh 40,000 kwa kichwa na elfu 80,000 kwa copules na anajaza nyomi kweli kweli.

Kasoma fursa, kaitumia fursa.

All in all life lazima iendelee na wajinga lazima waendelee kuliwa tu.
umenena
 
Hivi huyo mwanaume unaemsema hapa atakuwa hana jingine lakufanyaeee...yaani hapo ni mwanamke tuu, bado mwanaume huyo ana wazazi, ndugu, jamaa na marafiki, then anatakiwa ahudumie familia kama kaoa, ana majukumu ya kazini kwake au biashara, akirejea we mwanamke unataka tamm ya ucku..duuh wanaume tujipange na ndio maana wanaume tunakufa sana mapema
 
Kugawa tabia tu....kwanza huwez mtimizia kila kitu..hivyo akiamua kukusaliti atakusaliti......kila mtu amjali mwenzake...full stop....
 
Kwa maisha yetu ya kibongo bongo na PESA zetu za kuunga unga HILI HALITEKELEZEKI
 
Back
Top Bottom