Wanaume, huwa mnaharakia nini?

Nimekukumbuka we ndio mwenye tatizo la Nzio na coca cola!
Hapo sasa! Nakubaliiii
 
Kama ni ndege wangu, nakula njtakavyo...tusipangiane namna ya kula ndege wangu
 
Hakuna kitu kigumu kama kukaa na mwanamke wa kiafrika hata dakika 10 ukapata amani ya moyo, Unachoweza kufanya mkikutana ni kumaliza shida za mwili tu.
Yani nikuandae nipate nini? Wanawake wengi hamvutii kwahiyo kukaa na wewe muda mrefu ni kujiongezea msongo wa mawazo, kwakuwa utaanza kunitajia bili alizotakiwa julipia baba yako unanihamishia mimi, vua nguo niweke kila mtu asepe.
 
Wazungu hawakawii kukimbia hadi nje ya uwanja
 
Inategemea ntu na ntu
 
Kama ungetoa ushirikiano mzuri wakati wa kuomba gemu then hata wakati wa gemu ungepata sapoti ya kutosha.

Ila shida wakati wa kuomba gemu mnakuwa na ufala mwingi,mnatoza ushuru mkubwa,mixer Vat, na hela ya kutolea.

Halafu baada ya haya yote mnataka wanaume akupambanie na kitandani upate raha,wewe ni mtu mbinafsi kiasi gani hadi utake kila kitu ufanyiwe wewe uwe mpokeaji tu.

Kila mtu ajipambanie bana. Jipimie size yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…