Wanaume, huu si uungwana hata kidogo

Wanaume, huu si uungwana hata kidogo

Asante, Tumekuelewa. Mwenyewe ntakitoa hicho kitoto kwenye profile nimweke...
 
Nataka nikupe kisa kimoja
Kuna jamaa alikua na wake wawili, mmoja ana mtoto na yule mwengine ambae ni mke mdogo hana mtoto. Si unajua mambo ya kijijini? Wake wote wanakaa nyumba moja,

Yule jamaa akienda kwa mke mkubwa anakua anacheka sana tena kwa sauti hadi mke mdogo anasikia, ila akija kwa mke mdogo anakua kawaida tu kile kicheko hamna

Hali hii ikawa ni kila siku hadi mke mdogo akaanza kuumia, ikapelekea kuanza kumuuliza kwanini ukienda kule unakua na furaha sana unacheka hadi huku nasikia?
Jamaa kajibu sicheki na mke mkubwa ninnakua bize na yule mtoto wangu, nikiwa nae nikiona mapengo yake yasio na meno hua nafurahi sana

Mke mdogo akaona isiwe shida, si kaenda kutoa meno? Kama shida yako mtu asiwe na meno sasa cheka na mimi
 
Nataka nikupe kisa kimoja
Kuna jamaa alikua na wake wawili, mmoja ana mtoto na yule mwengine ambae ni mke mdogo hana mtoto. Si unajua mambo ya kijijini? Wake wote wanakaa nyumba moja,

Yule jamaa akienda kwa mke mkubwa anakua anacheka sana tena kwa sauti hadi mke mdogo anasikia, ila akija kwa mke mdogo anakua kawaida tu kile kicheko hamna

Hali hii ikawa ni kila siku hadi mke mdogo akaanza kuumia, ikapelekea kuanza kumuuliza kwanini ukienda kule unakua na furaha sana unacheka hadi huku nasikia?
Jamaa kajibu sicheki na mke mkubwa ninnakua bize na yule mtoto wangu, nikiwa nae nikiona mapengo yake yasio na meno hua nafurahi sana

Mke mdogo akaona isiwe shida, si kaenda kutoa meno? Kama shida yako mtu asiwe na meno sasa cheka na mimi

Hahahahahaaaa......lol watu wenye wivu ka Khantwe huwa wanaenda kwenye mitala kufanya nini..? Lakini wale walikuwa ni wake wawili ndio maana alipata wivu lakini mke na mtoto kila mtu ana nafasi yake lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaa......lol watu wenye wivu ka Khantwe huwa wanaenda kwenye mitala kufanya nini..? Lakini wale walikuwa ni wake wawili ndio maana alipata wivu lakini mke na mtoto kila mtu ana nafasi yake lol

Hapo unaona kua unaweza kua na mtoto 24hrs bila kukusumbua hata kidogo ila mke....haya basi coz tumeambiwa tuwe wavumilivu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom