Wanaume, huu si uungwana hata kidogo

Wanaume, huu si uungwana hata kidogo

akiweka pic huku zile nyumba ndogo kaziambia mkewe hapendi ana kaa nae tu kwa ajiri ya watoto itakuwaje??? nawaza tu wanaume tabu kweli, ila wadada sasa kila sehemu picha ya hubby ata akiwa hubby ushuzi tupo na mapic mpaka choonii
 
akiweka pic huku zile nyumba ndogo kaziambia mkewe hapendi ana kaa nae tu kwa ajiri ya watoto itakuwaje??? nawaza tu wanaume tabu kweli, ila wadada sasa kila sehemu picha ya hubby ata akiwa hubby ushuzi tupo na mapic mpaka choonii

Hahahah tabu kweli hawa ndugu zetu....tatizo na sisi sijui tupoje? Full kujichoresha.....leo hubby hivi kesho vile...daah kweli si wanawake aliyeturoga alikufa
 
shosti wanawake tunang'eng'eka mpaka basi tu dawa akiweka mtoto wewe weka pic ya baba yako au mama yako :A S wink:
 
mwanamke sio ndugu yako wa damu ni rafiki tu ila mtoto ni damu yako
 
Kuna talaka ya kumwacha mke hamna talaka ya kumwacha mtoto au ndugu yako
 
nikikuwekanutaniharibia dili zangu za michepuko
 
Back
Top Bottom