Mi nshachoka kusema.
Kama mwanamke anajua anambebea mimba mwanaume (sio kwaajili yake na mwanaume akiikataa nae hiyo mimba haitaki/hawezi kuendelea kuwa nayo) asijibebeshe mimba bila makubaliano na mwanaume, SIMPLE. Kuna kondom, kuna dawa/sindano/vipandikizi vya kuzuia mimba na kuna utaratibu wa kuhesabu. Ukishindwa kutumia chochote hapo kujilinda ili usipate mimba alafu ukapata IT'S ON YOU. Kuwa tayari kubeba na kukubali responsebility 100% with or without the man.
Ndio wanaume wanafanya vibaya kukataa lakini kwanini na wanawake nao waendelee kujibebea mimba za watu wasio na mapenzi au hata makubaliano nao???BADILIKENI BANA, or else mtaendelea kulia na kulalamika mpaka mwisho wa dunia but it won't help. :deadhorse:
halafu naww nakutafuta ili nikupe mimba halafu nikukimbie
Hao uliowaita ndio kazi Yao kukataa Mimbq na kule watoto....?
ndio mkuu wakiongozwa na mm
Hongera......
tulia ww mwanamke...
Nikikubali kila mimba si ww utanitoroka?
Mi nshachoka kusema.
Kama mwanamke anajua anambebea mimba mwanaume (sio kwaajili yake na mwanaume akiikataa nae hiyo mimba haitaki/hawezi kuendelea kuwa nayo) asijibebeshe mimba bila makubaliano na mwanaume, SIMPLE. Kuna kondom, kuna dawa/sindano/vipandikizi vya kuzuia mimba na kuna utaratibu wa kuhesabu. Ukishindwa kutumia chochote hapo kujilinda ili usipate mimba alafu ukapata IT'S ON YOU. Kuwa tayari kubeba na kukubali responsebility 100% with or without the man.
Ndio wanaume wanafanya vibaya kukataa lakini kwanini na wanawake nao waendelee kujibebea mimba za watu wasio na mapenzi au hata makubaliano nao???BADILIKENI BANA, or else mtaendelea kulia na kulalamika mpaka mwisho wa dunia but it won't help. :deadhorse:
Leo nije kwakina kaka. Kwakweli sikufahamu kuwa hadi miaka ya dot.com bado watu wanakataa ujauzito na watoto, really????
Wakati unafanya hilo tendo na huyo dada hukujua kuwa matokeo yanaweza kuwa nini??? Wako wapi vijana wanaojua thamani ya msichana na kumsubiri hadi siku ya harusi???? Wako wapi vijana wanaosimamia na kuamini wanayoyasema???
Vijana wa siku hizi wamejaa mashairi mazuri mno ya mapenzi, yaani maneno yao yanawamaliza kabisa wadada hata wakilokole wanajikuta wametoa yote. Inapotokea mimba basi huruka mita mia, kama sio yeye kabisa, mashairi ya kubembeleza yanageuka mikuki ya kuchoma moyo.
Umeshamkosea Mungu, Dada amepata mimba nijukumu lako kuutambua ujauzito huo na kuulea pamoja na mtoto. Wengine wanawashauri wasichana watoe mimba, na wasichana kwakutokujua lakufanya wanakubali. Nijambo la aibu Sana kukataa mimba na mtoto wako, na akishafika miaka 5 unajitutumua Mahakamani kumdai mtoto, mbaya Sana.
Wewe kijana unayesoma hapa, Mungu anajua ni watoto wangapi umewakataa. Tubu sasa mbele za Mungu na haraka uende ukaombe radhi kwa mama watoto wako na ukubali majukumu yako.
source: www.rosemarymazizi.blogspot.co m
Hazina madhara....??...na kuna morning after pills incase jana yake mapenzi yalikuchanganya ukaachia body
...na kuna morning after pills incase jana yake mapenzi yalikuchanganya ukaachia body
Angelita hueenda wanawake wanaongoza kwa kukataa watoto maana wananyofoa sana ujauzito siku hizi unakuta binti under twenty kashatupa watoto kama saba lo! hebu linganisha wanaotupwa na hao wanaokataliwa, by the way siungi mkono wowote kwa sababu ni upuuzi usio kifaniLeo nije kwakina kaka. Kwakweli sikufahamu kuwa hadi miaka ya dot.com bado watu wanakataa ujauzito na watoto, really????
Wakati unafanya hilo tendo na huyo dada hukujua kuwa matokeo yanaweza kuwa nini??? Wako wapi vijana wanaojua thamani ya msichana na kumsubiri hadi siku ya harusi???? Wako wapi vijana wanaosimamia na kuamini wanayoyasema???
Vijana wa siku hizi wamejaa mashairi mazuri mno ya mapenzi, yaani maneno yao yanawamaliza kabisa wadada hata wakilokole wanajikuta wametoa yote. Inapotokea mimba basi huruka mita mia, kama sio yeye kabisa, mashairi ya kubembeleza yanageuka mikuki ya kuchoma moyo.
Umeshamkosea Mungu, Dada amepata mimba nijukumu lako kuutambua ujauzito huo na kuulea pamoja na mtoto. Wengine wanawashauri wasichana watoe mimba, na wasichana kwakutokujua lakufanya wanakubali. Nijambo la aibu Sana kukataa mimba na mtoto wako, na akishafika miaka 5 unajitutumua Mahakamani kumdai mtoto, mbaya Sana.
Wewe kijana unayesoma hapa, Mungu anajua ni watoto wangapi umewakataa. Tubu sasa mbele za Mungu na haraka uende ukaombe radhi kwa mama watoto wako na ukubali majukumu yako.
source: www.rosemarymazizi.blogspot.com