Wanaume hii ni Yenu

Wanaume hii ni Yenu

nimeshamaliza tangu mwaka jana zenye baraka, tena nyingi kabisa ndani ya miaka 9...uanaka kujua ngapi... miss neddy?

Kwa hiyo hii ya kwangu ni ya laana? Maana kinyume cha baraka ni laana
 
Last edited by a moderator:
Dada Angelita, Bora wakatae watoto maana hata mtoto aliyekataliwa akalelewa na mama baadaye anakuja kumtafuta 'baba'. Shida ni 'waamue' kutoa hiyo mimba!.
Mungu anawalaani moja kwa moja duniani na mbinguni. dada baada ya kutoa kizazi kinaweza kuharibika na usiweze tena kubeba mimba nyingine - labda uende kuombewa Nigeria - sijui hapo. huyo
Ukija kuoa au kuolewa ukapata mtoto unaanza kumhudumia yule uliyemtoa 'ardhi' imeandika kumbukumbu zake na daima atasomewa huyu mtoto 'mpendwa' unayedhani unamhudumia. Aliyetolewa atakuwa analalamika kila uchao. Na si ajabu hata mafanikio yako yakawa duni. HUTAPATA RAHA MAISHA YAKO YOTE. Vijana acheni kufanya hayo mambo kabla ya wakati. "Ati mnapendana'
 
Back
Top Bottom