Wanaume hebu mkae vizuri

Wanaume hebu mkae vizuri

Kwani huyo aliyetanua ndo alikua amekubeba au ulibebwa na haisi?

Acha wivu kama unataka nawewe ota mbupu
 
Pole sana...
Huyo si amejitanua kwenye daladala mpaka kero...

Next time wewe chukua Uber, ujichanue mpaka raha...


Cc: mahondaw
 
Nimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.

Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.

Wacha pum.bu zipate hewa
Kama wao wanavyofunguliaga kufuli mara nyingine
 
Duh!kweli wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika. Kila siku mnatulaumu mara sperms zinanuka,mara tuna ukirutu yaani.....
 
Ungemwambia tu live sasa humu ujumbe hujafika
 
Nimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.

Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Huko ndio kukaa vizuri.. Mtu unajiachia unaburudika. Sema wewe ulipaswa kusema *tukae vibaya ili sote tutoshe* 🙂
 
Nimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.

Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Bila shaka huyo ana kitambi kikubwa.
 
Nipo kwenye daladala, wakaingia wana watatu, mjinga mmoja akaja kukaa siti moja na mimi akakaa upande wangu wa kulia, wenzake wakakaa siti ya nyuma.

Kwa ujinga wake akakaa ili aongee na mbuzi wenzie so tukajikuta tumegusana miguu na mapaja, nikamkazia macho kama kumuashiria akae vizuri nikaona hajiongezi.

Basi nikamsogelea tukagusana zaidi halafu nikajidindisha mbuzi alivyoona kwenye suruali pameinuka akahama siti.
 
mbona mna sema wanaume we huyo jamaa ungmwambia tu yeye....nimepanda daladala limama moja limejitanua halina habari tena laonekana vivu halitaki kukaa vizuri kuachia nafasi tukae....nililimaindi nkaazisha maongezi mwisho wa siku tukashuka nkachukua namba ...kesho yake likaja geto nkagegeda.....tena bonge la mtu... wanawake wengine muache kutanua miguu kwenye daladala
 
Nimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.

Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Pole Cajojo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom