Utabanaje miguu wakati tumebeba mizigo mitatu katikati miguu? We unadhani ni rahisi eh
sio rahisi kabisa kubeba hii mizigo, halafu unakuta mmoja mkubwa mwingine kiduchu,yaani balaa hahahaNimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.
Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Kama wao wanavyofunguliaga kufuli mara nyingineWacha pum.bu zipate hewa
Demiss.....wanaopepea ukurutu unawasha chini ya mapumbu
Bwahahahahhahh
Uliona wapi soja ameacha silaha nyumbani....Halafu kabebezana nayo tuuu kila mahali, nadhani anaogopa akiiacha ataibiwa
Hawa masoja tunaokutana nao barabarani hawana hata mkukiUliona wapi soja ameacha silaha nyumbani....
Huko ndio kukaa vizuri.. Mtu unajiachia unaburudika. Sema wewe ulipaswa kusema *tukae vibaya ili sote tutoshe* 🙂Nimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.
Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Bila shaka huyo ana kitambi kikubwa.Nimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.
Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Hawa masoja tunaokutana nao barabarani hawana hata mkuki

Nipo kwenye daladala, wakaingia wana watatu, mjinga mmoja akaja kukaa siti moja na mimi akakaa upande wangu wa kulia, wenzake wakakaa siti ya nyuma.
Kwa ujinga wake akakaa ili aongee na mbuzi wenzie so tukajikuta tumegusana miguu na mapaja, nikamkazia macho kama kumuashiria akae vizuri nikaona hajiongezi.
Basi nikamsogelea tukagusana zaidi halafu nikajidindisha mbuzi alivyoona kwenye suruali pameinuka akahama siti.

Pole CajojoNimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.
Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Mganga ana ukurutu??Sawa nitamsafisha
Hivi unadhan kubeba mbupu kaz rahisi??Hahaaà nadhani pia ni njia ya kutafuta courage