Atakuwa domo zegeeeHahaaà nadhani pia ni njia ya kutafuta courage
Ndio maana mi huwa nawabambia wale wapaka rangiNyie si ndo mnapenda?

Ingependeza mizigo yako ukaiacha nyumbani mkuuUtabanaje miguu wakati tumebeba mizigo mitatu katikati miguu? We unadhani ni rahisi eh
Mkao wa ki,soja muda wote tuko te,tionNimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.
Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Hahahahaha dadadeekiiNipo kwenye daladala, wakaingia wana watatu, mjinga mmoja akaja kukaa siti moja na mimi akakaa upande wangu wa kulia, wenzake wakakaa siti ya nyuma.
Kwa ujinga wake akakaa ili aongee na mbuzi wenzie so tukajikuta tumegusana miguu na mapaja, nikamkazia macho kama kumuashiria akae vizuri nikaona hajiongezi.
Basi nikamsogelea tukagusana zaidi halafu nikajidindisha mbuzi alivyoona kwenye suruali pameinuka akahama siti.
Halafu kabebezana nayo tuuu kila mahali, nadhani anaogopa akiiacha ataibiwaHahahaaà yani ni kweli kwanini aondoke na mizigo yote hyo
Watu wengine was ajabu kweli ultimately shindwa kumwambia mhusika halafu limekaaa linakukeleketa ukaona uje umalizie hasira huku we nae ni MTU wa ajabu kweli ukaaji mbaya Mbona hata wanawake wengi tu wanakaa ovyo!Nimeingia kwenye daladala siti ya wawili mwanaume kajitanuaa mguu mmoja huku mwingine kule ndo tabia gani?? Halafu asilimia kubwa ndio ukaaji wenu na mbaya zaidi mnapanua miguu huku mnatikisa tikisa yani inakeraa.
Hivi huwa mkibana miguu mnaumiaga au? Au joto linawaunguza. Muwe mnafikiria wenzenu wa pembeni hasa kwenye usafiri wa Uma.
Watu wengine was ajabu kweli ume shindwa kumwambia mhusika halafu limekaaa linakukeleketa ukaona uje umalizie hasira huku we nae ni MTU wa ajabu kweli ukaaji mbaya Mbona hata wanawake wengi tu wanakaa ovyo!
Hivi nyie mnaotukashifu humu, bibi giggy money wenu huwa mnawaacha nyumbani?Halafu kabebezana nayo tuuu kila mahali, nadhani anaogopa akiiacha ataibiwa


Wapi nimekukashifu mkuu? Niliyemquote ameelewaHivi nyie mnaotukashifu humu, bibi giggy money wenu huwa mnawaacha nyumbani?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()