Wanaume hawapendi wanawake wa aina hii

Wanaume hawapendi wanawake wa aina hii

Attachments

  • 1447405990567.jpg
    1447405990567.jpg
    10.7 KB · Views: 569
haya ila me napenda nikiudhiwa niongeee hadi hasira iishe... au ukubali nikutwange ngumi tatu za nguvu
 
View attachment 305349

Ukiachilia mbali uzuri wa mtu, tabia yake, utanashati na mengine mengi, kila mwanaume ana ladha anayoitafuta kwa mwanamke anayemtaka. Hii inatofautiana kati ya mtu na mtu, siwezi kuongelea nini mwanaume anatafuta kwa mwanamke, ila najua kuna aina Fulani za wanawake wanaume wengi hawapendi kuwa nao.

Waongeaji Sana

Wanawake wa maneno mengi, wanaume hawapendi mwanamke mropokaji. Wanawake wa aina hii huwa hawajui nini waongee na nini wasiongee au wakati gani wa kuongea na wakati gani wa kunyamaza. Watu wa aina hii hawajui kuuliza, wao wanafoka tu mwanzo mwisho.

Hahhahaaaaa subiri mashambulizi kaka
 
Aisee sipendi mwanamke wa hivyo!!! kwa kweli sipendi....shida inakuja pale mnapokuwa marafiki, tabia hizo wanazificha.Akiisha olewa ndio namba utaisoma.,ndio pale unakuta mwanaume anapita bar kila siku ili arudi home usiku.yote ni kukwepa kelele
 
wanaume hatupendi pia iyo sentensi yako apo chini considering magogoni yupo aliiseleeemaaa
 
Back
Top Bottom