Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

05CUBA

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2025
Posts
1,106
Reaction score
1,643
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....

NB: ZINGATIA KICHWA KUWA HATUPENDI WANAOJIREMBA KUPITILIZA (MEANS TUNAPENDA WSIO JIREMBA SANA)

#USITOE POVU BILA KUELEWA UZI

KIKAO CHA MAKUBALIANO KILIFANYIKA CUBA MWEZI APRIL MWANZONI.
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.


Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Hicho kikao kimefanyika wapi..unaleta.mrejesho.hapa
 
1745079271370.png
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Kujiremba ni haiba ya mtu sio kukosa self esteem na wasiojiremba nao tutateseam wamejiachia wamejikatia tamaa tafadhali acha kila mtu ainjoy maisha yake vile anataka na sio kuwa control 2atu wawe au waishi kwa mitazamo yako ni ngumu mno, kama kuna hatarisha maisha ya mtu kama kujichubua then itabidi kuwaonya.
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Wanotumia mkorogo (cocktail ya chemicals) wakivua nguo wanatisha sana, ngozi inakuwa kama ya chui au kenge
 
Nilishawahi kuwaambia yale makorokoro wanayopaka usoni minywele ya gharama wala hatunaga mpango nayo kama mzuri wewe ni mzuri.

Labda kama wanafanya kutambiana na wanawake wenzao ila sisi tunaona takataka tu
wAfanye vyote lakin hii make up sjui ya foundation na makope sjawah kuona mtu kajipigilia hayo madude akanichanganya
 
Back
Top Bottom