Wanaume halisi ndo imekufa ?

Wanaume halisi ndo imekufa ?

hawasikiki kabisa
Mkuu Viol acha uhuni bhana, hebu ongezea nyama kwanza post yako ili watu wachangie! In short ni kwamba ipo ICU... cjawahi kuwa karibu na hawa watu kwa muda mrefu sasa lakini si ajabu stori zinazoendelea huko ni "mkubwa keshatuendea kwa bibi!"

Ndio maana tulioanza kufuatilia huu muziki toka kitambo tunafahamu kelele za mashabiki hazimshushi wala kumpandisha mtu vinginevyo Wanaume Halisi leo hii wangekuwa juu na Family wameshapotea! Wanaume Halisi walibaki na mtaji wa mashabiki wasio na msaada wowote zaidi ya kuja ukumbini na kurusha makopo wakati Wanaume Family walibaki na watu wanaofahamu fitina za muziki wa Kibongo...

Ili ubaki kwenye game kwenye jiji hili ni lazima ufahamu fitina za muziki zipo vipi... ndo maana ilwashangaa watu kumcheka PNC wakati alipokuwa anapiga magoti... wengine wanadhani kuwa meneja kwenye muziki wa kibongo ni sawa na kuwa meneja NMB...

Toka na BCom First Class, kama hujui fitina za muziki wetu unaweza ku-fail kum-manage msanii kwa mafanikio lakini ukawa very successful kwenye ku-manage likampun likubwa kabisa!!
 
Mkuu Viol acha uhuni bhana, hebu ongezea nyama kwanza post yako ili watu wachangie! In short ni kwamba ipo ICU... cjawahi kuwa karibu na hawa watu kwa muda mrefu sasa lakini si ajabu stori zinazoendelea huko ni "mkubwa keshatuendea kwa bibi!" Ndio maana tulioanza kufuatilia huu muziki toka kitambo tunafahamu kelele za mashabiki hazimshushi wala kumpandisha mtu vinginevyo Wanaume Halisi leo hii wangekuwa juu na Family wameshapotea! Wanaume Halisi walibaki na mtaji wa mashabiki wasio na msaada wowote zaidi ya kuja ukumbini na kurusha makopo wakati Wanaume Family walibaki na watu wanaofahamu fitina za muziki wa Kibongo... Ili ubaki kwenye game kwenye jiji hili ni lazima ufahamu fitina za muziki zipo vipi... ndo maana ilwashangaa watu kumcheka PNC wakati alipokuwa anapiga magoti... wengine wanadhani kuwa meneja kwenye muziki wa kibongo ni sawa na kuwa meneja NMB...

Toka na BCom First Class, kama hujui fitina za muziki wetu unaweza ku-fail kum-manage msanii kwa mafanikio lakini ukawa very successful kwenye ku-manage likampun likubwa kabisa!!

Nilikuwa naangalia mkubwa akihojiwa kwenye sporah show akaulizwa swala la nature na wanaume halisi hakutaka kuongea ila alisema tu wale hawahitaji support wanajiweza,hata hiyo swala la PNC kuaibishwa aliambiwa azungumze aligoma.
 
Last edited by a moderator:
Nitapata wapi ile Album ya Nature inayoitwa UGALI!
 
Mkuu Viol acha uhuni bhana, hebu ongezea nyama kwanza post yako ili watu wachangie! In short ni kwamba ipo ICU... cjawahi kuwa karibu na hawa watu kwa muda mrefu sasa lakini si ajabu stori zinazoendelea huko ni "mkubwa keshatuendea kwa bibi!" Ndio maana tulioanza kufuatilia huu muziki toka kitambo tunafahamu kelele za mashabiki hazimshushi wala kumpandisha mtu vinginevyo Wanaume Halisi leo hii wangekuwa juu na Family wameshapotea! Wanaume Halisi walibaki na mtaji wa mashabiki wasio na msaada wowote zaidi ya kuja ukumbini na kurusha makopo wakati Wanaume Family walibaki na watu wanaofahamu fitina za muziki wa Kibongo... Ili ubaki kwenye game kwenye jiji hili ni lazima ufahamu fitina za muziki zipo vipi... ndo maana ilwashangaa watu kumcheka PNC wakati alipokuwa anapiga magoti... wengine wanadhani kuwa meneja kwenye muziki wa kibongo ni sawa na kuwa meneja NMB...

Toka na BCom First Class, kama hujui fitina za muziki wetu unaweza ku-fail kum-manage msanii kwa mafanikio lakini ukawa very successful kwenye ku-manage likampun likubwa kabisa!!

umeongea ukweli mtupu
bongo titna tu kwenye mziki
 
Last edited by a moderator:
Juma Nature ni mjamaa halisi na kwa kifupi mpaka kesho anapiga show na wanaume halisi tatizo ambao anawabeba ndio wanamuangusha maana hawajishughulisha kabisa,alafu msimu huu muziki umelalia kwa aina fulani ya waimbaji hata hao TMK Family hawako kama kale pale Fella anabebwa na Ya Moto band sasa ivi naona music cycle imekaa vibaya kwa aina ya muziki wa akina Nature.

Ila Nature nunda hasa ukienda kwenye show anawakalisha hawa watoto mpaka utashangaa ni wachache wanamsumbua.
 
Kuwa na heshima ni kitu cha msingi katika kazi na wakubwa wako wa kazi au hata mashuleni kuwaheshimu waalim waliokutoa toka kipind unafuta kamasi na ngumi had leo unatoa kamasi na kitambaa, unapokuwa unamdharau yule aliekutoa mbali na kumtukana yale manung'uniko hayawez kukuacha hivi hiv hiyo inanipa jibu la kwa nin nature hasikiki kama zamani wenzake wote wanazid kupata mafanikio yeye akiwa pale pale.

so kuheshim management yako ni kuzur hata mnaposhindwana bora uondoke kwa aman pasipo ugomvi ili umpe nafasi atakaekupokea akuongoze pasipo kujua mkwaruzano wako na management mpya
 
Juma Nature ni mjamaa halisi na kwa kifupi mpaka kesho anapiga show na wanaume halisi tatizo ambao anawabeba ndio wanamuangusha maana hawajishughulisha kabisa,alafu msimu huu muziki umelalia kwa aina fulani ya waimbaji hata hao TMK Family hawako kama kale pale Fella anabebwa na Ya Moto band sasa ivi naona music cycle imekaa vibaya kwa aina ya muziki wa akina Nature.
Ila Nature nunda hasa ukienda kwenye show anawakalisha hawa watoto mpaka utashangaa ni wachache wanamsumbua.

Nature anafanya show wapi?
 
Nature anafanya show wapi?

ImageUploadedByJamiiForums1415827430.370401.jpg

Hii ilikua Mwembe Yanga uwanja wa nyumbani kama una macho utaona ni wiki mbili zilizopita.

ImageUploadedByJamiiForums1415827468.959994.jpg

Hii ilikua Bagamoyo kwenye Karibu festival angalia t-shirt utaelewa. Achana na tour za Fiesta ambazo amefanya almost mikoa mingi kwa mwaka huu. Kama una maswali mengine uliza ila kwa kuokoa pumzi na muda nenda kwenye page yake ya IG utapata yote kuhusu show zake ila ujue Nature anafanya show kama kawaida ila nyie wa akina bob junior hamuwezi kujua ratiba za uku KIUMENI. Ova.
 
Juma Nature ni mjamaa halisi na kwa kifupi mpaka kesho anapiga show na wanaume halisi tatizo ambao anawabeba ndio wanamuangusha maana hawajishughulisha kabisa,alafu msimu huu muziki umelalia kwa aina fulani ya waimbaji hata hao TMK Family hawako kama kale pale Fella anabebwa na Ya Moto band sasa ivi naona music cycle imekaa vibaya kwa aina ya muziki wa akina Nature.
Ila Nature nunda hasa ukienda kwenye show anawakalisha hawa watoto mpaka utashangaa ni wachache wanamsumbua.

Nature ni mjamaa halisia. Fid Q alishawahi kukiri hilo kwa kuandika mstari ufuatao katka moja ya nyimbo zake,
"Nilitamani kuwa mjamaa, ni na genge kama la Nature"
 
Back
Top Bottom