sawa mamy hapa ndipo napo amaini mwanaume ni selfish .... nkjakuwa na mwanangu wa kike nitamwambia asijekuamini mwanaume yeyote
Habari zenu wanaJF
Kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. Nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
- Mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?
- Mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe. Wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?
- Ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani?
- Unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ?
Wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi ila theory practical nitafanya mwenyewe.
- Pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo?
Naombeni msaada wenu please.
Asante mbarikiwe
Habari zenu wanaJF
Kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. Nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
- Mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?
- Mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe. Wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?
- Ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani?
- Unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ?
Wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi ila theory practical nitafanya mwenyewe.
- Pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo?
Naombeni msaada wenu please.
Asante mbarikiwe
Pole sana,naona huyo kapata penzi jipya
Hahahah....una maziwa lakini?
maziwa?? Ndo nini..!!
Habari zenu wanaJF
Kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. Nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
- Mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?
- Mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe. Wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?
- Ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani?
- Unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ?
Wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi ila theory practical nitafanya mwenyewe.
- Pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo?
Naombeni msaada wenu please.
Asante mbarikiwe
Just be yourself and your man will die loving you with all his heart
hayo yote yanafanywa lakini bado naonekana sipo hot..
Hahahaa haaaa
Miss chagga bana acha kunichekesha
Kuna kitu wanawake hamtaki kukubali... Kwa namna jamii ilivyo xaiv ni kaz mwanaume kulidhika na mwanamke mmoja...fumbua macho uone miss chaga
hayo yote yanafanywa lakini bado naonekana sipo hot..
No mwache aone mwenyewe haina sababu kumjengea attitude hiyo mtoto
mmhh atafute watoto wenzie naleta swaga kazini tuKwani unaswagga kama za MANKA wa kichagga?? - Basi atakua anataka SWAGGA za bongo movie....
Kuna kitu wanawake hamtaki kukubali... Kwa namna jamii ilivyo xaiv ni kaz mwanaume kulidhika na mwanamke mmoja...fumbua macho uone miss chaga