Habari zenu humu ndani.
Natafuta mchumba awe gentleman,msomi wa chuo kikuu,mkristo mwenye hofu ya Mungu,mchapa kazi yani asiwe mvivu,awe wa kimo chochote lakini ariwe mfupì sana na atakae kuwa serious nami na awe single mana sitaki kushare na mtu.
Mimi ni msomi wa chuo kikuu,mnene kiasì,mrefu kawaida na nina rangi yangu ya hasiri,rangi ya chocolate.
Tunaweza kuwa marafiki tukilidhiana ndo tuingie kwenye stage ya uchumba.
Kwa atakae kua tayari ani PM asanteni
jiulize sasa mgeni wa jf moja kwa moja anakimbilia love conect majukwaa mengne hayaoni.lol.