Wanaume changamkieni tenda hapa

Wanaume changamkieni tenda hapa

Hata usipojua kusoma na kuandika ili mradi usiwe mvivu na uwe muekewa

Sasa uliposema unataka awe amepita chuo kikuu ulikua unamaanisha nin?si ungesema tu anayejitambua na kujishughurisha tu ingetosha
 
Hapana....ni ninyi wenyewe wenyeji mnabadilisha tu id twenu

hahahaha hamna bwana...watu wanakuwa wameshagegedwa huko nje sasa wanakuja hapa kwa ma great thinkers wapate wapenzi wa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom