Wanaume bwana!

Wanaume bwana!

10.jpg


Mbona mnatuchanganya?

Eti mnasema uzuri wa mwanamke ni tabia!

Kama uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona tukipita mbele yenu mnaangalia makalio yetu?
Au tabia za wanawake ziko makalioni?

Ukweli ni kwamba wanaume wengi huona makalio ya wanawake ni muhimu kuliko tabia

Uongo?

Nasema na nyie #TeamBazazi
Kaizer, utafiti, Mentor, Asprin, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Mndengereko, Elli, ayanda, mwekundu

Kwa kweli makalio yenu kuna mengine yanatamanisha sana maana unakuta wengine wana makalio yaliyoning'inia sana kama mkia wa kondoo ndo sababu tunasahau kukumbuka tabia.
 
Last edited by a moderator:
Usipate pressure bure kanuni ya wanaume ni "Out of sight out of mind" hivyo kalio likishapita analisahau na kuendelea na shughuli zake kama kawa. Ukiniuliza sasa hivi jana nimeona makalio mangapi wala sikumbuki.
 
Kweli ni kwamba uzuri wa mwanamke 1:Ni tabia 2:Ni umbo lake 3:Sura.Ila sasa tabia imejificha kinachochukua nafasi badala yake ni umbo na ukishapishana nae umeshamuona sura na umbolake kwa mbele(kifua) kinachofuata nikuangalia mzigo halafu unarudisha akili kwenye tabia ndomana lazima tugeuke ni(mtazamo tu)
 
Back
Top Bottom