Wanaume bwana!

Wanaume bwana!

ayanda kokote kule uliko,

tambua kuwa umeacha pengo kubwa sana kwangu, nimekumiss sana besti...

you left since 27th march... till now..
 
Last edited by a moderator:
Mimi hao flat screen itokee tu,lakini haswaa wenye bambataa ndiyo chaguo langu.

Vijana wa mjini wanasema “raha ya sofa ni ukubwa wa sponji”
 
hahh yaani umenifanya nicheke kwa nguvu mbele za watu bila ya kutarajia,eti its just the way we are programmed tumekuwa maroboti sisi??

TEH TEH TEHHH.

Yeah. Program yenu inasema big ass yes, so? Turn to watch how it moves.

If not big then? Ignore.

I wish ningeweza kukuchorea flow chart ya munavyowazaga aisee.
 
Hamna biashara kabisa,labda nyie wakike ndo halali yenu
 
Ndiyo aana wengne tuonaogoa kutembeage kama hvyo majanga tupu
 
We are like bluetooth searching for new devices
 
Back
Top Bottom