Wanaume bwana!

Wanaume bwana!

Ushaambiwa mwanaume anataka wanawake wa aina tatu...

1.Wakutambia mitaani, yaani yule anaturn vichwa vya washamba washamba wote...
2.Wakutunza familia, ukimwachia latu 3 mwanzo wa mwezi, familia inakunywa na kula mpaka mwanzo wa mwezi ujao....
3.Wakubingirika nae kitandani, awe anakata kiuno kama nyingu...

So ukiona anashangaa mtaani ujue anamwonea wivu jamaa anabeba huo mzigo
 
Its just the way their systems are programmed. It doesn't bother me at all.
Operating systems; Microsoft Windows, OS X, Obuntu, Android, iOS, IBM.....yaani tumekuwa programmed kama hizi? lolz kweli madam umetuchoka..
 
Ma.ka.lio ni kitu muhimu sana kwa mwanamke....binafsi napenda mwanamke mwenye ma.kal.io makubwa maana huwa nayatumia vizuri.....napenda kwasababu huwa nina session maalum kwaajili ya ma.ka.lio wakati wa shughuli.

NB: Uyapende na uyatumie, sio kwa kuyaangalia tu. Inakuwa haileti maana.
 
Makubwa kwahiyo lazima usachi na makalio,na wewe ukisachiwa je?

Wadada bhana mnajipenda sna nyie mbona mnavitu vyenu kibao mnaangalia mara mrefu mweusi kajazia anasix pack na sii ndo tunasearch factor muhm,thanx god madushelele hayaonekani kama vile makalio la sivyomngekuwa nanyie mnaangalia kwa mbili kama sisi saa sijui teamvibamia ingekuwaje:what:
 
Ma.ka.lio ni kitu muhimu sana kwa mwanamke....binafsi napenda mwanamke mwenye ma.kal.io makubwa maana huwa nayatumia vizuri.....napenda kwasababu huwa nina session maalum kwaajili ya ma.ka.lio wakati wa shughuli.

NB: Uyapende na uyatumie, sio kwa kuyaangalia tu. Inakuwa haileti maana.

Fafanua mkuu, unayanyia nini katika hiyo session yako.
 
Mi naangalia makalio lkn kwa tamaa ya mgegedo tu! Ila wa kuoa siangalii kalio!
 
Mi naangalia makalio lkn kwa tamaa ya mgegedo tu! Ila wa kuoa siangalii kalio! Sasa we jipitishe na makalio yako na tabia zako za ajabuajabu uone kama utaolewa!
 
Waswahili wanasema tamu ya ngamia kwenye nundu, tamu ya mua kwenye kifundo na tamu ya kondoo ni mkia wake
 
10.jpg


Mbona mnatuchanganya?

Eti mnasema uzuri wa mwanamke ni tabia!

Kama uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona tukipita mbele yenu mnaangalia makalio yetu?
Au tabia za wanawake ziko makalioni?

Ukweli ni kwamba wanaume wengi huona makalio ya wanawake ni muhimu kuliko tabia

Uongo?

Nasema na nyie #TeamBazazi
Kaizer, utafiti, Mentor, Asprin, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Mndengereko, Elli, ayanda, mwekundu

hawa jamaa sasa hapa wanaangalia nini mbona demu mwenyewe hana mzigo?
 
Last edited by a moderator:
Uzuri wa mke tabia... uzuri wa mwanamke makalio...
 
TEH TEH TEHHH.

Yeah. Program yenu inasema big ass yes, so? Turn to watch how it moves.

If not big then? Ignore.

I wish ningeweza kukuchorea flow chart ya munavyowazaga aisee.

Honestly yan kitu chochote kabla hujakagua ndan c unaanza na nje ndugu yangu...then ndo unazama ndan,kuchek housing n muhim then unamalizia na engine...
 
Back
Top Bottom