miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Umeambiwa Uzuri wa nyumba choo
na uzuri wa chooo nyumba ... aya mkuu
Umeambiwa Uzuri wa nyumba choo
Smaku mae
na inavut wengi aisee ngoja nipake mchina niongeze sumaku
Mchina Utamong'onyoka mamaa
Ni short term
in short time nitakuwa nimenasa wengi loh
![]()
Mbona mnatuchanganya?
Eti mnasema uzuri wa mwanamke ni tabia!
Kama uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona tukipita mbele yenu mnaangalia makalio yetu?
Au tabia za wanawake ziko makalioni?
Ukweli ni kwamba wanaume wengi huona makalio ya wanawake ni muhimu kuliko tabia
Uongo?
Nasema na nyie #TeamBazazi
Kaizer, utafiti, Mentor, Asprin, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Mndengereko, Elli, ayanda, mwekundu
i thought you were somewhere else!! ghafla nkakwona uko huku!! but we are not programmed bana(as you said) ehheheeeee "they call it nature"...
Hawajui wanachokitaka hao.
Mbona mnatuchanganya?
Eti mnasema uzuri wa mwanamke ni tabia!
Kama uzuri wa mwanamke ni tabia, mbona tukipita mbele yenu mnaangalia makalio yetu?
Au tabia za wanawake ziko makalioni?
Ukweli ni kwamba wanaume wengi huona makalio ya wanawake ni muhimu kuliko tabia
Uongo?
Nasema na nyie #TeamBazazi
Kaizer, utafiti, Mentor, Asprin, KakaKiiza, Jiwe Linaloishi, Nyani Ngabu, Mndengereko, Elli, ayanda, mwekundu
tunajua sana tunachokitaka, ila kuangalia kazi ya muumba siyo mbaya, kiwi ya macho