Wanaume badilikeni

Wanaume badilikeni

tatizo lako wewe unachagua wanaume wa namna hiyo..mbona tupo sisi tunaopiga bao moja kwa saa nzima na bao jingine tena kwa saa nzima na mpaka yafike matano? kila bao wastani wa kuwa ndani yako ni saa moja sasa utasema unataka mangapi. kwangu mimi kusafiri nikisafisha kwangu namwagia maji chini kuondoa vumbi na pia vitu vyangu nimepnga fresh. chupi sivai....nikivaa bukta au surulai yangu inatosha. kama unataka kupigwa mabao kedekede dada nitafute nipo nimejaa tele....


Habari za jumapili wana MMU,

Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo??? Kweli mwanaume unapiga bao moja umechoka mpaka unalala usingizi?? Mnawatesa watoto wenzenu mnawachafua na kibao kimoja mnategemea waende wapi au wapige punyeto??Tatizo mazoezi hamtaki kufanya na chips mayai ndio chakula chenu kikuu hebu badilikeni waridhisheni wapenzi/wake zenu.
Jamani halafu nyie wanaume badilikeni acheni uchafu, unakuta mwanaume hata hajijali chumba chake ukienda ametupa minguo chini soksi chini ya uvungu boxer kila sehemu sio tabia nzuri halafu hapo eti unategemea kupata mwanamke msafi nani atakuvumilia na uchafu wako???
 
Kuanzia mbili mkuu lakini zinazodumu kwa muda mrefu.....hata moja ile liwe la dk nyingi sio dakika 3 umeshachoka
Ok sawa mkuu, mimi binafsi huwa napiga tatu za kushiba ya mwisho huwa simalizi inabidi tuahirishe maana huwa panawaka mooto
 
Tatizo sio mnato au bwawa....tatizo lenu siku hizi mmeishiwa nguvu sababu ya makuku ya kisasa na chips yai mnazokula
Kama una K mnato, tamu, hainuki shombo then jamaa anapiga moja tu basi huyo jamaa yako ni bwege tu, mwambie aache ujinga apige mzigo fresh!!
 
unataka bao sita....... ukija kuolewa mbegu za mmeo zishaexpire....coz na yeye huko alikuwa anapiga balaa..... msituchoshe, sijakuridhisha katafute huko walipo.....
 
Habari za jumapili wana MMU,

Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo??? Kweli mwanaume unapiga bao moja umechoka mpaka unalala usingizi?? Mnawatesa watoto wenzenu mnawachafua na kibao kimoja mnategemea waende wapi au wapige punyeto??Tatizo mazoezi hamtaki kufanya na chips mayai ndio chakula chenu kikuu hebu badilikeni waridhisheni wapenzi/wake zenu.
Jamani halafu nyie wanaume badilikeni acheni uchafu, unakuta mwanaume hata hajijali chumba chake ukienda ametupa minguo chini soksi chini ya uvungu boxer kila sehemu sio tabia nzuri halafu hapo eti unategemea kupata mwanamke msafi nani atakuvumilia na uchafu wako???
Pole sana dada huwa nawaonea huruma sana wanawake wanaokosa ile raha adhimu. Njoo huku mikoani achana na wanaume wa dar wanaotishwa hata na watoto wadogo.
 
napiga ki1 na tunza na mbegu za kunikuza sa nikimaliza utaniazima
 
Habari za jumapili wana MMU,

Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo??? Kweli mwanaume unapiga bao

tabia za boyfriend wako unageneralize za wanaume wote?
 
unakuta mwanaume hata hajijali chumba chake ukienda ametupa minguo chini soksi chini ya uvungu boxer kila sehemu sio tabia nzuri halafu hapo eti unategemea kupata mwanamke msafi nani atakuvumilia na uchafu wako???
Huwezi kukuta dhahabu,maeneo ya posta inazagaa.
Dhahabu inachimbwa mashimoni kwa taabu,kisha
inasafishwa ndo inakuwa thamani.Wadada acheni vya kunyonga
ndo maana mnaumizwa,tafuta wa kwako,mfundishe kuvaa
usafi n.k hapo utajivuna.Kinyume na hapo
ni msemo tu wa usione vinaelea vimeundwa.
 
Huwezi kukuta dhahabu,maeneo ya posta inazagaa.
Dhahabu inachimbwa mashimoni kwa taabu,kisha
inasafishwa ndo inakuwa thamani.Wadada acheni vya kunyonga
ndo maana mnaumizwa,tafuta wa kwako,mfundishe kuvaa
usafi n.k hapo utajivuna.Kinyume na hapo
ni msemo tu wa usione vinaelea vimeundwa.
Na nyie kubalini kubadilika basi mkifundishwa sio mnakuwa wakali
 
Mkipunguza kuwa zege kitandan tutawagonga vzr tu
 
Habari za jumapili wana MMU,

Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo??? Kweli mwanaume unapiga bao moja umechoka mpaka unalala usingizi?? Mnawatesa watoto wenzenu mnawachafua na kibao kimoja mnategemea waende wapi au wapige punyeto??Tatizo mazoezi hamtaki kufanya na chips mayai ndio chakula chenu kikuu hebu badilikeni waridhisheni wapenzi/wake zenu.
Jamani halafu nyie wanaume badilikeni acheni uchafu, unakuta mwanaume hata hajijali chumba chake ukienda ametupa minguo chini soksi chini ya uvungu boxer kila sehemu sio tabia nzuri halafu hapo eti unategemea kupata mwanamke msafi nani atakuvumilia na uchafu wako???

Wamekusikia bila Shaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom