ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,379
- 118,803
Sio yeye mkuu, halafu siku naandika hii thread huwezi amini nilikuwa na mpenzi wangu pembeni. Yeye alianza kuandika thread kuhusu mimi na akanipondea sana( alisema ni utani) na mimi nikasema ili kumkera nitajibu mapigo nikaanzisha hii na mwisho wa siku tukakubaliana tusiwe tunataniana ujinga. Na niliandika kuhusu kupiga kimoja sababu hakuna kitu kinamuuma mwanaume kama kuambiwa hivyo iwe kweli au uongo.trudie ni huyu huyu mwamba ndio ulileta habari zake za kimoja holla humu? Kama ni yeye dah huyu mwamba amekosa mwanamke mwenye koromeo wallah, atakuwa anasemwa na kufunguliwa threads kila akikosea, huyu mwamba namhurumia...kama sio yeye ni heri tu!
Duh, mbona mlikuwa na utoto mwingi kiasi hiki mkuu? How old were you then?Sio yeye mkuu, halafu siku naandika hii thread huwezi amini nilikuwa na mpenzi wangu pembeni. Yeye alianza kuandika thread kuhusu mimi na akanipondea sana( alisema ni utani) na mimi nikasema ili kumkera nitajibu mapigo nikaanzisha hii na mwisho wa siku tukakubaliana tusiwe tunataniana ujinga. Na niliandika kuhusu kupiga kimoja sababu hakuna kitu kinamuuma mwanaume kama kuambiwa hivyo iwe kweli au uongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, mbona mlikuwa na utoto mwingi kiasi hiki mkuu? How old were you then?
Japo ukisoma kwa kuunganisha matukio unaona kabisa ni huyu mwamba, 2017 ndio uliandika hii episode, your baby ana 4yrs now maana yake alizaliwa 2018 na mimba mlipeana 2017/18 hapo kutegemeana na mwezi alipozaliwa mtoto.
Well well!
Hivi we mtoto upo?Dunia simama nishuke mie
TUmesikia tutajirekebishaHabari za jumapili wana MMU,
Hivi nyie wanaume nani kawaroga jamani mbona wenzenu wa zamani hawakuwa hivyo? Kweli mwanaume unapiga bao moja umechoka mpaka unalala usingizi?
Mnawatesa watoto wenzenu, mnawachafua na kibao kimoja mnategemea waende wapi au wapige punyeto? Tatizo mazoezi hamtaki kufanya na chips mayai ndiyo chakula chenu kikuu, hebu badilikeni, waridhisheni wapenzi/wake zenu.
Jamani halafu nyie wanaume badilikeni, acheni uchafu. Unakuta mwanaume hata hajijali, chumba chake ukienda ametupa minguo chini, soksi chini ya uvungu, boksa kila sehemu, siyo tabia nzuri.
Halafu hapo eti unategemea kupata mwanamke msafi, nani atakuvumilia uchafu wako?