Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Mwanaume unaandika kama demu utakuja olewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
We kwa lugha uliyoandika huna uwezo wa kumlisha mwanaume, mwanamke ambaye anampunga hawezi kutumia neno jomoni hilo linatumiwa na mabinti kama wewe ambao hata simu uliyonayo jamaa kakununulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wenye vipato vyenu na nyie mna kazi sana. Hapo ukute ulimpata baada ya kuona hali imekuwa tete ukaamua walau umpate wa kukupunguzia [emoji3] [emoji3] matokeo yake ukaja gundua unaingizwa mjini sio muda ukajiongeza
Aaaah kama nimekusoma ...Yaaan kapigwa kitambo kuja stukia late sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto umleavyo, ndio akuavyo... Ahsante kwa kunielewa mkuu
 
Siku ukigombana na shost mmoja unaanza pewa makavu na kuchambwa, kumbe storee uliwapa mwenyewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
naam, hata huku wamejaa midada yenye uswahili mwingi, hujifanya wanajua kusuta, lkn wanaume wa humu nao huenda nao polepole hadi kinaeleweka, wakileta za kuletwa vinarushwa humu mwishowe inabadili id[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom