witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,769
Bora umekuja niliboreka humu!Teh teh teh teeeh!!
Mungu tuokolee hiki kizazi chetu cha watoto wa kiume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umekuja niliboreka humu!Teh teh teh teeeh!!
Mungu tuokolee hiki kizazi chetu cha watoto wa kiume.
Haahaaahaaa....hakuna ke mbaya as long as ana papuchi[emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiii
kama sura inakatisha tamaa mkule GIZANI halafu nasikia wanajituma balaaHaahaaahaaa....hakuna ke mbaya as long as ana papuchi[emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si vya mda mfupi....for future inabidi ajitume aseewarembo wengi wana hunt mifuko yetu, wale hawafyeki visiki bali wanaokota vilivyo windwa tayari kwa gharama za kupewa mikuyenge
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa truenaam, hata huku wamejaa midada yenye uswahili mwingi, hujifanya wanajua kusuta, lkn wanaume wa humu nao huenda nao polepole hadi kinaeleweka, wakileta za kuletwa vinarushwa humu mwishowe inabadili id[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili wasiachwee?kama sura inakatisha tamaa mkule GIZANI halafu nasikia wanajituma balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah wapi...kuna vichwa vyangu hapa
Marioo hataki heshima anachotaka ni papuchi na kulelewa. Only gentlemen ndio wanajua kuhudumiaHi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon