Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Wanaume acheni kuwa 'Marioo'

Ili wasiachwee?

Sent using Jamii Forums mobile app
katika dunia hii huwezi kunyimwa vyote, kama sura haieleweki utapewa kalio lkn akili utanyimwa, ukipewa sura, utanyimwa kalio na waweza kuwa mvivu kitandani.
kila mtu kapewa udhaifu na kapewa uzuri.

Mungu ni mkamilifu...anavyote, vizuri, vibaya, dhaifu na vyenye nguvu.
ni fuull pakeji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unavojiweka ndivyo hivyo utakavyobebwa
nakubaliana na pointi hii kwa asilimia kubwa,kwa mfano mimi nilikuwa nakerwa na kitendo cha binti niliyempenda yani unamuita sehemu aje mpige stori lkn hana hata buku ya kulipia bodaboda lkn amejipodoa yani utashangaa kuwa huyu anakosa hela;akifika tu hata kabla hajaletewa kinywaji mezani ameshaanza kutaja shida kibao,kama vile gesi imeisha,kuna mchango kwenye chama ;luku imeisha;kodi imeisha;siku moja rafiki yangu raia wa kigeni kumbe alikuwa akimfuatilia tabia zake hizo;akaamua kuniambia rafiki yangu nakujua upo makini sana lkn kwann unaendekeza wanawake wenye njaa kiasi hiki;unashindwa kupata binti ambaye anaweza kujimudu shida zake ndogo ndogo.Kwa hiyo dada yangu umejiweka kugegedwa na marioo hivyo watakuja wengi na wengi wao wanajua kushughulika ipasavyo;na wapo available any time kwasababu hawana kazi hivyo kama mizinga imekuchosha;kubali na wewe kupunguza nyege zako.
 
You sound desperate that's why they flock onto you. Simple.
A strong relationship is about give and take but yours is totally opposite.
A change begins with YOU.
Desperate?serious
Am living my life
Hata huyu kanitongoza kwa kuhangaika sana sikuwa na time naye
Story ni fupi alikuja kupata nafuu ya maisha anakuta the opposite
Hata kudo tumedo only twice
Kwayeye kufoc
Alitaka tumia ngono ili nifall aanze kunichuna nikamstukia mdangaji,nikasepa
Coz silei marioo
Walomleta mjini ndo wamleee
Sina dhiki ya wanaume
Wako wengi nawapanga navyotaka
Alichotegemea hajapata
Mie pamoja na kuwa na kazi natuzwa situnzi mtu mwenye mbupu zake
Ama mnataka nirushe hadi chat zake za kulia njaa na kufake mapenz ndo muamini
Am done and he is gone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi
Jomoni nimechoka kupigwa mizinga na wanaume.tuseme ukweli nikulishe,nikuvishe nilipie hadi lodge,mimi kama mwanamke nitakuheshimu kweli?
Wanaume badilikeni jomoni coz hakuna mwanamke anapenda kuhudumia mwanaume,kamwe
Sisi wanawake tumeumbwa kupokea na siyo kutoa.Mimi usinipe hela yako ila pia usiniombe hela pulizzz
Ni aibuuuu,wanaume sijui wamekuwaje siku hizi jomon
Siwezi kukuheshimu kama nakulisha, wengi mtapinga ila ni kweli mwanamke anayemhudumia mwanaume hawezi mweshimu kamwe
Oneni lady jdee,flora mbasha,ndoa zilifel kwakuwa waume walikuwa marioo
Badilikeni jomon
Kwa nini sasa mnadai haki saw a Mkuu...?
 
50/50 kwa wote...ukitaka mwanaume mzuri na wewe ndo unampenda gharamia...na sisi tukipata mwanamke mzuri tunae mpenda tunagharamia...siku hizi si mnajitongozesha mixer kutongoza wanaume??why not kutoa pesa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Desperate?serious
Am living my life
Hata huyu kanitongoza kwa kuhangaika sana sikuwa na time naye
Story ni fupi alikuja kupata nafuu ya maisha anakuta the opposite
Hata kudo tumedo only twice
Kwayeye kufoc
Alitaka tumia ngono ili nifall aanze kunichuna nikamstukia mdangaji,nikasepa
Coz silei marioo
Walomleta mjini ndo wamleee
Sina dhiki ya wanaume
Wako wengi nawapanga navyotaka
Alichotegemea hajapata
Mie pamoja na kuwa na kazi natuzwa situnzi mtu mwenye mbupu zake
Ama mnataka nirushe hadi chat zake za kulia njaa na kufake mapenz ndo muamini
Am done and he is gone

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuma hizo chat za marioo tuone hebu![emoji15] [emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom