Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
wewe labda dunia ishuke chini.Wapo sana tu, hata mimi nahonga ujue[emoji12] [emoji12]
wewe labda dunia ishuke chini.Wapo sana tu, hata mimi nahonga ujue[emoji12] [emoji12]
Ni hatari.
Kizazi kilicholelewa na ma single mother,kila shida inatatuliwa na mama...imagine mtoto huyo akikuwa atahitaji kuwa na mwanamke wa aina gani[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Teh teh teh teeeh!!
Mungu tuokolee hiki kizazi chetu cha watoto wa kiume.
Ndio umeandika nini hicho?bublic ndiyo wapi dada nami nikakatae
Hahahaaaa!! Inanchukulia poa eeh?wewe labda dunia ishuke chini.
Sio sababu, marioo wengi wamelelewa na wazazi wote. Watoto wetu single moms ni watafutaji kweli maana mama zao tunapambana haswa.Kizazi kilicholelewa na ma single mother,kila shida inatatuliwa na mama...imagine mtoto huyo akikuwa atahitaji kuwa na mwanamke wa aina gani[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe hata nikikuambia unihonge ila usinipe ukajinunulie kitu.Hahahaaaa!! Inanchukulia poa eeh?
Pole sana kwa mkasa huo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mariooo wana macho ya wapi kuna mteremkoWananifata wenyewe
Sijawahi tongoza mwanaume
Ila ndo ivo ni mariooo
Hadi kero
Hahahaaaa!! Nipe basi.wewe hata nikikuambia unihonge ila usinipe ukajinunulie kitu.
Bado roho itakuuma.
Ila nilikuona juzi pale ulijitahidi kugharamia ka lunch...hahaHahahaaaa!! Nipe basi.
Mavi yakoooiWapo sana tu, hata mimi nahonga ujue[emoji12] [emoji12]
AmenTeh teh teh teeeh!!
Mungu tuokolee hiki kizazi chetu cha watoto wa kiume.
Ndo sababu, marioo wengi ni watoto ambao wamekuwa wakiona mama ndo anafanya kila kitu...mtoto hajui hata jukumu lake kama mwanaume sababu nyumba haina mwanaume...halafu mnaleaga watoto wanakuwa wasafiiiiii siku hizi na kiduku kwa mbali mnawanyoa.......kama unamtoto wa kiume unamlea hivo ujue huyo ndo marioo wa baadaeSio sababu, marioo wengi wamelelewa na wazazi wote. Watoto wetu single moms ni watafutaji kweli maana mama zao tunapambana haswa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo kuna Ben10 na Marioo.
kweli BONGO BAHATI MBAYA.
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
AhsanteSio sababu, marioo wengi wamelelewa na wazazi wote. Watoto wetu single moms ni watafutaji kweli maana mama zao tunapambana haswa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haikuwa kalunch ujue, ni outing ya three days. Nilijitutumua acha tu.Ila nilikuona juzi pale ulijitahidi kugharamia ka lunch...haha
Na ukawa unajisifu eti nikipendwa napendeka.