Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,389
- 1,066
Handsome, tall? Hebu tuma picha nipate uhalisia isije kuwa ni mbwembwe nyuma ya keyboardMiaka mitatu iliyopita nilipogundua Demu Fulani wakishua,nilifanya vituko vyote mbele yake.Mtoto alinielewa kiasi kwamba vituko vilimzidia hadi akanitongoza mwenyewe.Hapo Ikawa Kama mbuzi Kufia kwa muuza supu.Alikufa akaoza,na mm niliendelea na maigizo yangu kwa Ufundi wa Hali ya juu,game Kali,uaminifu wa Hali ya juu kuhakikisha nazitumia hela ipasavyo.Japo yeye sio sugar Mamy and whatever,she is even under 20.So ndo advantage Kwangu hyo.Simu htc nikaona mbaya Huyo iPhone.kweli lodge yy ndo analipaga.nikihitaji 20K chap tu anytime.Sema On top of that I'm tall and handsome.watoto wa kishua tena!
Sasa we mwanaume na akili zako utakulaje hela ya mwanamke? Haahaa wanaume hii siri hawaijui na ngoja niwamegee, iko hivi ( siku ukila hela ya mwanamke ni utatangazwa kwa mashost/ majirani/ wapita njia/ Dada hivyo yaan hata kama hawakujui japo hutaambiwa! Mmojawapo si huyu bidada anabwatuka na uzi kafungua![emoji15] [emoji15] ...jiulize kama kafungua Uzi je huko kitaa mashost kawahadithia nini so ni full mchoro kama wotee hivi!)Mnazo tena nyingi. Sijui huwa mnafundishwa somo gani tusilolijua angali mu wadogo
Pesa ya mwanamke lazima uilipe aidha kwa kuaibika au kumpa zaidi ya aliyokupa.Sasa we mtu una akili utakulaje hela ya mwanamke? Haahaa wanaume hii siri hawaijui ( siku ukila ya mwanamke ni utatangazwa kwa mashost/ majirani/ wapita njia/ Dada hivyo yaan hata kama hawakujui japo hutaambiwa! Mmojawapo si huyu bidada anabwatuka na uzi kafungua![emoji15] [emoji15] ...jiulize kama kafungua Uzi je huko kitaa mashost kawahadithia nini so ni full mchoro kama wotee hivi!)
Halafu dharau yake sasa achaa...anakuona zaidi ya jinsia yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Absolutely true...zinaandaliwa screenshots za kufa mtuuPesa ya mwanamke lazima uilipe aidha kwa kuaibika au kumpa zaidi ya aliyokupa.
Bi shost labda anaandaa meseji endelea kusubiri.
Navyoona uchungu pesa yangu kwenda hivyo hivyo naamini kila binadamu pesa yake ni chungu.Changamkia fursa mzee.maisha mafupi.
Usiogope ntakulinda...mimi mtoto wa mkubwa hapa nchini!Kutuma Picha ndo ishu.iwe PM iwe wapi.kiusalama zaidi.
Nipe hela niitoe.
Wapo sana tu, hata mimi nahonga ujue[emoji12] [emoji12]Fanya kurusha ebu... Binafsi sijawahi kuona mwanamke anayehonga toka nizaliwe.
hata kumskia pembeni... nawaona-ga kwenye mitandao kama hivi na kwenye story bubu.
Hahaaa!yaani Mimi kwa kweli hapana !!huwaga sipatagi jibu kwa kweli!!!!Mimi ndicho nachoshangaa... hivi wanawake hawa hawa!
Nadhani labda mwanamke anamwahi honey chukua hii laki 2 katumietumie. Hela ya mwanamke ni inamuuma.
Mnaomba sana ila mkija in public mnakataa.Mimi ndicho nachoshangaa... hivi wanawake hawa hawa!
Nadhani labda mwanamke anamwahi honey chukua hii laki 2 katumietumie. Hela ya mwanamke ni inamuuma.
Ma shosti yangu ntampa makavu live au ushoga utakufaa ujinga huo miye sinagaa!!!
Nimeshaa....[emoji23] [emoji23] [emoji23] serioussAseeh..... kwa hiyo huwa unaomba pesa na kuomba kununuliwa simu au yeye ndiye anakwambia baby chukua!
Na wewe huwa unaona kawaida tu!
Aibu tupuuuHandsome, tall? Hebu tuma picha nipate uhalisia isije kuwa ni mbwembwe nyuma ya keyboard
Key point, mi ni mtoto wa kishua na nahonga kama yotee na niko under 20..changamkia fursa HB
Sent using Jamii Forums mobile app
NakaziaaaSasa we mtu una akili utakulaje hela ya mwanamke? Haahaa wanaume hii siri hawaijui ( siku ukila ya mwanamke ni utatangazwa kwa mashost/ majirani/ wapita njia/ Dada hivyo yaan hata kama hawakujui japo hutaambiwa! Mmojawapo si huyu bidada anabwatuka na uzi kafungua![emoji15] [emoji15] ...jiulize kama kafungua Uzi je huko kitaa mashost kawahadithia nini so ni full mchoro kama wotee hivi!)
Halafu dharau yake sasa achaa...anakuona zaidi ya jinsia yake
Sent using Jamii Forums mobile app
bublic ndiyo wapi dada nami nikakataeMnaomba sana ila mkija in bublic mnakataa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]