Wanaume 40+ ni dhahabu inayotembea

Wanaume 40+ ni dhahabu inayotembea

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
27,640
Reaction score
65,112
Wakati wanawake wakifikisha umri wa miaka 30+ wanaume wanawapatia majina tofauti tofauti kama vile makinikia, nungayembe, wazee, n.k, hali ni tofauti kabisa kwa wanaume wenye umri wa 40+.

Wanaume wa umri huu kila mwanamke anawahitaji. Kwasababu wanawake wengi wana dhana zifuatazo juu yao:-

-Wamekomaa kiakili na wana maamuzi sahihi.
-Wanajua ku-care.
-Wamepunguza tamaa za kuchepuka.
-Wengi wao wanajitambua.
-Wengi wamefanikiwa kimaisha.

Kwani uongo? Kweli
 
Wakati wanawake wakifikisha umri wa miaka 30+ wanaume wanawapatia majina tofauti tofauti kama vile makinikia, nungayembe, wazee, n.k, hali ni tofauti kabisa kwa wanaume wenye umri wa 40+.

Wanaume wa umri huu kila mwanamke anawahitaji. Kwasabb wanawake wengi wana dhana zifuatazo juu yao:-
-wamekomaa kiakili na wana maamuzi sahihi.
-wanajua ku-care.
-wamepunguza tamaa za kuchepuka.
-wengi wao wanajitambua.
-wengi wamefanikiwa kimaisha.

Kwani uongo??........ Kweliiiiiî...
Kweli mkuu
 
Hapo kwenye 40+ yrs huwa hakuna "Park at Your Own Risk". Instead there's "Park at Your Own Benefits!!"

Ndiyo maana wanahitajika/ wanapendwa na warembo.
 
Hapo kwenye 40+ yrs huwa hakuna "Park at Your Own Risk". Instead there's "Park at Your Own Benefits!!"

Ndiyo maana wanahitajika/ wanapendwa na warembo.
Umeona eee !!!?
 
Kama anayopesa sawa tunagandana ila kama huna pesa ni makinikia inayotambaaa.... ... ila wanaume wengi hupevuka na kuwa na akili wakifika 40 madudu yao inakuwa nguvu si kubwa sana kama walio chini ya hapo
 
Kama anayopesa sawa tunagandana ila kama huna pesa ni makinikia inayotambaaa.... ... ila wanaume wengi hupevuka na kuwa na akili wakifika 40 madudu yao inakuwa nguvu si kubwa sana kama walio chini ya hapo
Miss Chagga hujampata anayepiga mazoezi ama kufanya kazi ngumu kama ukuli, kusukuma mkokoteni, ama kubeba zege. Hawa wako fiti kuliko hata under 20. Lkn ukichukua hawa wapaka shedo was ofisini hawana kitu. Hata 30s wachovu balaa
 
Wapiii

Mwanaume akifikisha miaka 40 hajaoa unamtizama kwa jicho la tatu

Hujurupuki

Inawezekana ni fupa lililomshinda fisi....


Ila wachache huwa wazuri haswa as wanajua maisha na wamepitia mengi
 
Back
Top Bottom