Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,656
Hivi ni nani ana mamlaka ya kuprint hela???? Kampumi gani ina print hela? Na wanafuata principles zipi,??? Kuna uhusiamo gani kati ya b.o.t na hao wanaoprint hela?
WB ndo wapiEheee....pesa zinatoka WB.....huko .....
Wanataka kuprint watugawie bure maana hali tete huku mitaaniEheee....pesa zinatoka WB.....huko .....
wakiprint nyingi ndio hali itazidi kuwa mbayaWanataka kuprint watugawie bure maana hali tete huku mitaani
Nimekuelewa mchumimkuu pesa zote huwa zinakuwa printed na makampuni makubwa ya kuchapa pesa. Mfn wa makampuni haya ni Canadian bank note Co, De La rue, japan mint n.k . lakini de ra lue ndio kampuni kubwa zaidi kwa sekta hii. Na ni kampuni ya kiingrrrza.
Ni vipi makampuni yanapatikana.
Ni kupitia sheria zile zile za manunuzi ya serikali,
B.O.T kama msimamizi wa fedha anatangaza tender then makampuni yanaomba. Kisha wao B.O.T wanachagua kampuni ifaayo na kuipa kandarasi hiyo.
Vigezo.
Vipo vigezo wanavyovitumia B.OT kuchagua kampuni. Moja ni gharama ya kuichapa noti moja. Pili ni mahusiano ya serikali ya Tanzania na nchi hiyo kampuni inakotoka yakoje. Tatu ni ubora wa note zenyewe. Nne ni historia ya kibiashara ya kampuni hiyo na nchi nyingine na Tanzania kwa ujumla.
Kwanini kuchap note nyingi si busara.
Jibu ni kuwa unapochapa pesa kuna cost per each note. Mathalani, notr ya sh ef 500 unailipia sh 150. Hivyo kadri unapochap note nyingi, cost inakua kubwa zaidi. Kiuchumi ni mbaya.
Kampuni ipi inatumika zaidi.
Tanzania inaitumia hasa kampuni ya De la rue. Kampuni hii ni kongwe kwani imekuwepo tangu enzi za 1830s. muuasis wake ni bwana Thomas De la rue. Kampuni hii inatoa fedha za nchi zaidi ya 140 duniani.
Kwa ufupi ni hivyo
Mimi sio mchumiNimekuelewa mchumi
mkuu pesa zote huwa zinakuwa printed na makampuni makubwa ya kuchapa pesa. Mfn wa makampuni haya ni Canadian bank note Co, De La rue, japan mint n.k . lakini de ra lue ndio kampuni kubwa zaidi kwa sekta hii. Na ni kampuni ya kiingrrrza.
Ni vipi makampuni yanapatikana.
Ni kupitia sheria zile zile za manunuzi ya serikali,
B.O.T kama msimamizi wa fedha anatangaza tender then makampuni yanaomba. Kisha wao B.O.T wanachagua kampuni ifaayo na kuipa kandarasi hiyo.
Vigezo.
Vipo vigezo wanavyovitumia B.OT kuchagua kampuni. Moja ni gharama ya kuichapa noti moja. Pili ni mahusiano ya serikali ya Tanzania na nchi hiyo kampuni inakotoka yakoje. Tatu ni ubora wa note zenyewe. Nne ni historia ya kibiashara ya kampuni hiyo na nchi nyingine na Tanzania kwa ujumla.
Kwanini kuchap note nyingi si busara.
Jibu ni kuwa unapochapa pesa kuna cost per each note. Mathalani, notr ya sh ef 500 unailipia sh 150. Hivyo kadri unapochap note nyingi, cost inakua kubwa zaidi. Kiuchumi ni mbaya.
Kampuni ipi inatumika zaidi.
Tanzania inaitumia hasa kampuni ya De la rue. Kampuni hii ni kongwe kwani imekuwepo tangu enzi za 1830s. muuasis wake ni bwana Thomas De la rue. Kampuni hii inatoa fedha za nchi zaidi ya 140 duniani.
Kwa ufupi ni hivyo
ukamuibia nani hyo printer? Na ukaiprint kwa utaratibu gani?Kwahiyo kwamfano nikaiba printer moja, halafu nikaanza kuprint kwa sh. 50 per note, itakuwa sahihi kuprint mahela mengi kutokana na cost kuwa ndogo? Au kuna effect nyingine ya kuprint hela nyingi?
Msukuma hana akili hiyo.. Ndio maana theory zote za uchumi kaziweka kando anatumia chatonism theorieswakiprint nyingi ndio hali itazidi kuwa mbaya
ukamuibia nani hyo printer? Na ukaiprint kwa utaratibu gani?
Mjinga amefeli yule! Kila kona hali ni mbaya kuliko Jana, Kale kazee kanachekelea tu kwa vile ameshindwa kukafunika!Msukuma hana akili hiyo.. Ndio maana theory zote za uchumi kaziweka kando anatumia chatonism theories
Jiepushe kutoa majibu ya mambo usiyo yafahamu mkuuEheee....pesa zinatoka WB.....huko .....
Huwezi kuprint print tu ela utasababiha zishuke thamani, ingekuwa hivyo tusingekuwa tunakopa tungekuwa tuna jiprintia tu.Kwahiyo kwamfano nikaiba printer moja, halafu nikaanza kuprint kwa sh. 50 per note, itakuwa sahihi kuprint mahela mengi kutokana na cost kuwa ndogo? Au kuna effect nyingine ya kuprint hela nyingi?
Hili ndilo jibu ambao Septem alitakiwa kutoa lakini akajikita kwenye printers za wizi alizotaja WirelessBrain kumbe hoja pale haikuwa suala la printers!Huwezi kuprint print tu ela utasababiha zishuke thamani, ingekuwa hivyo tusingekuwa tunakopa tungekuwa tuna jiprintia tu.
Lakini effect ya kuprint ela ovyo unaweza kukuta unanunua mkate ambao leo ni 1000 unakuja ununua 50000.