Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,863
- 14,346
Kwanza lazima mjue kazi ya fedha ni kufinance projects mbalimbali mbali. Under the acceptable inflation that we have i.e around 4.5 percent kuprint pesa unastimulate uchumi na unaongeza effective demand i.e AD whic is ivestment plus savings. Under the aradox theories jpm yukosahihi kabisa.
Kosa lililofanywa zimbabwe ni kuprint pesa bila ongezeko lolote la sectors za uchumi na walikuwa wameshafika kwenye hyper inflation i.e double digit.
Kumbuka kwamba ili uprint pesa lazima uangalie velocity of money and level of transaction yaani ziongozeke ambapo tanzania kuna stiglers gorge na miradi kibao ambapo kasi au v inaongezeka.
Ukiprint pesa bila kuangalia v and T unasababisha value ya pesa kushuka in the same proportion ya printing i.e 20% ms increase will also decrease th value by 20%.
This is explained by quantity theory of money by prof Ilving Fisher.
Jpm is on the right track machadema hamjui kitu chochote zaidi ya siasa za maji taka. Ndani ya lichama lema mnsmtegemea lisu tu wengine ni form four failures.
Kosa lililofanywa zimbabwe ni kuprint pesa bila ongezeko lolote la sectors za uchumi na walikuwa wameshafika kwenye hyper inflation i.e double digit.
Kumbuka kwamba ili uprint pesa lazima uangalie velocity of money and level of transaction yaani ziongozeke ambapo tanzania kuna stiglers gorge na miradi kibao ambapo kasi au v inaongezeka.
Ukiprint pesa bila kuangalia v and T unasababisha value ya pesa kushuka in the same proportion ya printing i.e 20% ms increase will also decrease th value by 20%.
This is explained by quantity theory of money by prof Ilving Fisher.
Jpm is on the right track machadema hamjui kitu chochote zaidi ya siasa za maji taka. Ndani ya lichama lema mnsmtegemea lisu tu wengine ni form four failures.