mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,075
- 106,516
hata wakitaka aitwe YESU sawa tuHeshima kwenu,
Praise team (PT) wameanza fujo zao, wameanza kupiga Kelele kwamba Uwanja wa ndege wa Mwanza ubadilishwe jina uitwe MIA. Kwamba kwa mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli, anastahili apewe jina na Uwanja huo.
Hivi, vitu vyote majina wanapewa wanasiasa tu tena wa CCM, watoto wetu watapewa majina gani?
Mnafikiri CCM na watu wake ndio wa mwisho Tanzania?
Hivi Tanzania hakuna watu waliofanya makubwa ukiacha wanaccm?
Ipo siku watakuja Watanzania wenye maono na wasiopenda sifa, watafuta hayo majina ya kujipendekeza.
Wakina Mwamunyange, Mayunga, Askofu Munga, John Okello, Maria Nyerere, Salim Ahmad Salim nk.
Tanzania ni yetu sote. Kama Vipi Nchi ibadilishwe Jina iitwe Magufuli tujue moja. Sababu ishakua nchi ya kusifu na matatizo ya wananchi yamesahaulika na hayasemwi na ukijaribu kusema unaitwa beberu.
Zaman tulikuwa tunaishijeMaisha ya wasukuma baada ya 2025 sjui yatakuaje
Praise team hawana tofauti na wauzaji wa kimboka au corner barHeshima kwenu,
Praise team (PT) wameanza fujo zao, wameanza kupiga Kelele kwamba Uwanja wa ndege wa Mwanza ubadilishwe jina uitwe MIA. Kwamba kwa mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli, anastahili apewe jina na Uwanja huo.
Hivi, vitu vyote majina wanapewa wanasiasa tu tena wa CCM, watoto wetu watapewa majina gani?
Mnafikiri CCM na watu wake ndio wa mwisho Tanzania?
Hivi Tanzania hakuna watu waliofanya makubwa ukiacha wanaccm?
Ipo siku watakuja Watanzania wenye maono na wasiopenda sifa, watafuta hayo majina ya kujipendekeza.
Wakina Mwamunyange, Mayunga, Askofu Munga, John Okello, Maria Nyerere, Salim Ahmad Salim nk.
Tanzania ni yetu sote. Kama Vipi Nchi ibadilishwe Jina iitwe Magufuli tujue moja. Sababu ishakua nchi ya kusifu na matatizo ya wananchi yamesahaulika na hayasemwi na ukijaribu kusema unaitwa beberu.
Duh.... Poa tu vyovyote vile basiTunapendekeza uitwe Ester bulaya
Mkuu inaelekea unamzimikia Easter si utupe karata tu acha uwogaTunapendekeza uitwe Ester bulaya
Mkuu inaelekea unamzimikia Easter si utupe karata tu acha uwoga
Ova
We tatizo domo zegeHalima Ndio kikwazo Mkuu
Ningeshatupa ndoano
Umeandika ukiwa na hasira kweliHeshima kwenu,
Praise team (PT) wameanza fujo zao, wameanza kupiga Kelele kwamba Uwanja wa ndege wa Mwanza ubadilishwe jina uitwe MIA. Kwamba kwa mambo makubwa aliyofanya Rais Magufuli, anastahili apewe jina na Uwanja huo.
Hivi, vitu vyote majina wanapewa wanasiasa tu tena wa CCM, watoto wetu watapewa majina gani?
Mnafikiri CCM na watu wake ndio wa mwisho Tanzania?
Hivi Tanzania hakuna watu waliofanya makubwa ukiacha wanaccm?
Ipo siku watakuja Watanzania wenye maono na wasiopenda sifa, watafuta hayo majina ya kujipendekeza.
Wakina Mwamunyange, Mayunga, Askofu Munga, John Okello, Maria Nyerere, Salim Ahmad Salim nk.
Tanzania ni yetu sote. Kama Vipi Nchi ibadilishwe Jina iitwe Magufuli tujue moja. Sababu ishakua nchi ya kusifu na matatizo ya wananchi yamesahaulika na hayasemwi na ukijaribu kusema unaitwa beberu.
Wanakosa hoja wamekuwa wadangaji tuUnajidanganya tu na hizo fikra zako za kikabila
Wivu wa kiswahili huoNamimi nashauri,Hospital ya Muhimbili na za mikoa yote zibadilishwe majina ziitwe Magufuli Hospital pamoja na mbuga za wanyama zote,na Magholofa yote marefu na mimi nyumba yangu nitaiita kwa jina hilo,hamuoni uchumi umepanda?na leo tunazindua kampeni kubwa za uchaguzi Tamisemi,tunaweza kuchagua kitaifa ukazindua kampeni kwenye kiwanja cha ndege Chattel mkoani Rubondo.
Unataka tukuitie wew kaka!! Au unataka coment mkuu