ShalomP
Member
- Jun 14, 2019
- 97
- 154
Kuna baadhi ya watu wanaweza kuonesha wanakuunga mkono kwa nje katika juhudi zako kumbe ndani wanakuombea ufeli.
Unaweza ukawa unafanya Mambo mengi mazuri lakini ukipatwa na baya huinuka na kuanza kukuhukumu na kukukwaza kwa maneno badala ya kukuombea.
Unapofanya mema hawatasadiki ila watafanya juu chini wakuwekee mtego uteleze au ujikwae ili wapate sababu, Yaani wapo wanaokutumia kwa ajili ya kazi fulani kwa manufaa yao wakishamaliza kukutumia wanakutema na kukuona hufai.
Wanapokutema watahesabu mabaya yako mema yako watayafuta kuwa makini sio kila mtu ni wa kumweleza maono yako Bali wengine ni wanafiki.
Unaweza ukawa unakazana kumwomba Mungu ufanikiwe kumbe mwengine anakuombea ufeli. Wanatazama vibanzi kwenye macho ya wenzao wakati wao boriti hawajatoa machoni mwao.
Kuwa makini wanakuchekea machoni moyoni wanatafuta ulipokosea ili wakuhukumu, Wanasubiri ukosee Ili wakunase.
Unaweza ukamfanyia Mtu kazi iliyo njema Sana lakini siku utakopokosea atafuta mema yako yote atahesabu mabaya tu,Hata wale uliowaamini watainuka na kukushambulia kwa vyovyote vile.
Hapo ndipo utajua Nani rafiki,Nani mnafiki,au Nani msaliti au Nani akufaaye wakati wa dhiki. Unapopatwa na tatizo ndipo utajua Nani mnafiki au nani rafiki, Unayemuhukumu Kama sio Kweli umemsemea kwa uwongo hakika malipo ni hapa hapa.
Thibitisha ndipo ulopoke sio kumtungia mtu shutuma za kufikirika yaani unadhania tu.
Ni heri kuwa na marafiki wachache wanakujari wakati wa dhiki kuliko kundi la marafiki wengi wanafiki wanaokuombea ufeli.
Unapofanikiwa watainuka na kusaga meno kumbe Nia yao ni kukuona unafeli.Haina kufeli kimya ni jibu tosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukawa unafanya Mambo mengi mazuri lakini ukipatwa na baya huinuka na kuanza kukuhukumu na kukukwaza kwa maneno badala ya kukuombea.
Unapofanya mema hawatasadiki ila watafanya juu chini wakuwekee mtego uteleze au ujikwae ili wapate sababu, Yaani wapo wanaokutumia kwa ajili ya kazi fulani kwa manufaa yao wakishamaliza kukutumia wanakutema na kukuona hufai.
Wanapokutema watahesabu mabaya yako mema yako watayafuta kuwa makini sio kila mtu ni wa kumweleza maono yako Bali wengine ni wanafiki.
Unaweza ukawa unakazana kumwomba Mungu ufanikiwe kumbe mwengine anakuombea ufeli. Wanatazama vibanzi kwenye macho ya wenzao wakati wao boriti hawajatoa machoni mwao.
Kuwa makini wanakuchekea machoni moyoni wanatafuta ulipokosea ili wakuhukumu, Wanasubiri ukosee Ili wakunase.
Unaweza ukamfanyia Mtu kazi iliyo njema Sana lakini siku utakopokosea atafuta mema yako yote atahesabu mabaya tu,Hata wale uliowaamini watainuka na kukushambulia kwa vyovyote vile.
Hapo ndipo utajua Nani rafiki,Nani mnafiki,au Nani msaliti au Nani akufaaye wakati wa dhiki. Unapopatwa na tatizo ndipo utajua Nani mnafiki au nani rafiki, Unayemuhukumu Kama sio Kweli umemsemea kwa uwongo hakika malipo ni hapa hapa.
Thibitisha ndipo ulopoke sio kumtungia mtu shutuma za kufikirika yaani unadhania tu.
Ni heri kuwa na marafiki wachache wanakujari wakati wa dhiki kuliko kundi la marafiki wengi wanafiki wanaokuombea ufeli.
Unapofanikiwa watainuka na kusaga meno kumbe Nia yao ni kukuona unafeli.Haina kufeli kimya ni jibu tosha.
Sent using Jamii Forums mobile app