WanaSongwe watembea na kusafiri kumdhamini Rais Samia

WanaSongwe watembea na kusafiri kumdhamini Rais Samia

Ule msafara wa rais wa kwenda kuchukua form ya urais kwanza alitembea na watu wake sijui aliwatoa wapi 7bu wanadodoma tulikuwa tunashangaa Hawa wageni wametoka wapi kwenye msafara wake alikuwa na mabasi 13 hayo yalikuwa yamejaza watu na alikuwa na v8 land kuruza 130 na pikipiki za usalama 100 bodaboda 300 kwahiyo ukipiga hesabu hapo alikuja na watu wake kama 1500 na maana watu wa Dodoma tulionekana sisi ndo wageni
 
Kuna Eneo Gani Ndani Ya Songwe Unaweza Kukesha Unasafiri Kufika Vwawa Au Mlowo ?
Acha Fiksi We Bwana Mdogo.
 
Back
Top Bottom