Wanasimba popote mlipo kuweni macho

Wanasimba popote mlipo kuweni macho

Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
kivumbi na jasho
 
Kuna jukwaa lolote limetengwa Kwa ajili ya wapumbavu na malofa?
Majukwaa ni ya taarifa walizonazo watu na si watu wenyewe..!! Wapumbavu na malofa wanaingia jukwaa lolote na wakioneka kuleta upumbavu na ulofa wao tunawakumbusha kuuacha
 
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
Simba hana uwezo wa kushindana na berkane
 
Sahihi kabisa na moja ya jambo la kwanza watakalotaka kufanya ni kuhakikisha fainali haichezwi kwa Mkapa. Watatumia watendaji wa serikali, meneja wa uwanja, wakaguzi na wengine kufanya hujuma hiyo. Tayari dalili nimeziona. Ukiniuliza mimi nitakwambia mpaka sasa naona uwezekano wa 70% hadi 80% ya fainali kuchezewa Zanzibar.
Makolo mnahangaika bure simba tayari keshatema bungo, RS Berkane ni mlima mrefu, simba ni underdog, kolowizard ni timu mbovu tu papatu papatu inayobebwa na marefa,timu yenu haina msuli wa kupishana na Berkane lazima mpokee za uso, sasa mmeanza visingizio kuhujumiwa na uto ili mkifungwa mpate kichaka cha kujifichia halafu, tujikumbushe kombe lenyewe la wamama loosers cup shirikisho,

Mnatupigia uto makelele wakati tukijiandaa kunyanyua makwapa kubeba NBC premier league kwa mara ya nne mfululizo!!

Yanga bingwa
 
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
Mlitukosesha kombe na ile mvua yenu, hili kombe hamlipati
 
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
Ni kwamba tulipenda na tulitaka tufike fainali ili kufyeka kichaka, na tumefanya hivyo. Kuchukua au kutochukua ubingwa haitakuwa ishu sana. Kwa ufupi, hapa tu tulipofika pamewaumiza sana utopolo, na hilo ndilo linalotufurahisha
 
Jadili mambo ya msingi kama
Katiba mpya
Ajira za vijana
Kilimo
Technology
Biashara n.k
Mko busy na mamipira
Umepotea njia wewe ndo unatakiwa kwenda majukwaa tajwa kuna mambo mawili una kiherehere na una wivu.
 
Haya ndiyo mambo ccm wanapenda kuona waTanganyika masikini mkikesha nayo usiku na mchana
Aliyeturoga kafa, yani jitu jina linakaa kuandika pumba eti maadai zetu tangu lini Simba na Yanga ni maadui?

Hivi huyu tutusa anajuwa kama Mangungu ni Yanga na GSM ni Simba?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Jadili mambo ya msingi kama
Katiba mpya
Ajira za vijana
Kilimo
Technology
Biashara n.k
Mko busy na mamipira
Huna akili wewe,unalazimishaje watu wajadili ajira za wanasiasa na wasijadili ajira za soka?
Au hujui soka ni ajira kubwa sana na iko wazi hata kwa watu maskini?
Unataka watu wajadili katiba ya kukuingiza madarakani?
 
Wanasimba wenzangu popote mlipo hapa nchini na kwinginepo kuweni macho,adui yetu namba moja "Nyuma mwiko" ameshaingia kazini kushirikiana na RS Berkane.

Sio tu naandika,Bali Nina ushahidi wa huku mtaani wapinzani wananihakikishia kua watatia mkono, lakini pia ukiingia kwenye social media utaona baadhi ya Viongozi wa adui yetu jinsi wanavyojiapiza kua watatuharibia kwa namna yoyote Ile ili tufungwe na RS Berkane.

Mmoja wapo ni yule aliekua msemaji wetu wa zamani akakimbilia kwa adui yetu.
Na mwingine ni msemaji wa Sasa wa adui yetu.
Uzuri clip zipo wakiahidi kutuhujumu.

Wanasema kwamba watahakikisha wanawapa RS Berkane Kila msaada watakao uhitaji ili tufungwe ikiwezekana nje na ndani lii tusichukue kombe.

Siongei uongo,Bali clip zipo na msemaji wao akisema kua, ataanza dua Kali kuombea tufungwe nje ndani,sio yeye TU Bali na baadhi ya wazee na vijana wamejiapiza kufanya Kila hujuma katika maeneo tofauti.

Hivyo Wana Simba wenzangu kuweni macho kwa maombi,Dua Sala na aina yoyote ya ulinzi ili kupingana na nguvu hizo chafu. Kweni macho na hujuma zozote.

Nimesikia kua Majasusi wa RS Berkane tayari wameshaingia nchini tayari kuipeleleza Simba
Na kawaida ya wapelelezi hutumia wenyeji wasio na mahusiano mazuri na anaepelelezwa.

Nyuma mwiko kimewauma sana baada ya kuona walichokua wanajivunia kimedumu kwa miaka miwili TU,Simba amekuja kukivunja na ana uwezo wa kuchukua ndio ya CAFCC

Nyuma mwiko hofu na wivu vimewakaa kooni.

Fainali ni vita kama vita nyingine.
Nawaza tu hadi muda huu kama mdude anapumua, je ni lini CCM itafutika
 
Jukwaa la michezo lazima lijadili michezo boss.

Kila jambo na mahali pake kwa muda wake.
Nakuambia kua nyuma mwiko wengi ni zero IQ.
Kwa sababu hili ni jukwaa la michezo wao wanalazimisha tujadili uchumi,sayansi,biashara na siasa.
Wewe unawaona wako sawa kweli?
 
Back
Top Bottom