Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 2,317
- 7,324
- Thread starter
- #61
Ataelewa Nini huyo Zero IQ ?Unaelewa maana ya kutenga majukwaa??
Ataelewa Nini huyo Zero IQ ?Unaelewa maana ya kutenga majukwaa??
Tumekemea sana kuuzwa kwa bandari kwenye majukwaa ya siasa,bado bandari ikauzwa.Kwa akili hizi, Wacha bandari ziuzwe
Mama mwenyewe ni mnazi wa mpira. Kavurumisha li-dreamliner hadi Maroc kwa ajili ya mpira.Jadili mambo ya msingi kama
Katiba mpya
Ajira za vijana
Kilimo
Technology
Biashara n.k
Mko busy na mamipira
Labda simba atashinda njaa lakini siyo kumshinda BerkaneHali ndio kama hivi,lakini bado naona Simba atamshinda RS Berkane huko Znz.
Sahihi kabisa na moja ya jambo la kwanza watakalotaka kufanya ni kuhakikisha fainali haichezwi kwa Mkapa. Watatumia watendaji wa serikali, meneja wa uwanja, wakaguzi na wengine kufanya hujuma hiyo. Tayari dalili nimeziona. Ukiniuliza mimi nitakwambia mpaka sasa naona uwezekano wa 70% hadi 80% ya fainali kuchezewa Zanzibar.
Nina maendleo kukushinda wewe ndugu,Mimi mpira kwangu ni starehe.Kuwa na kiasi
Jadili michezo lakini usizidi
Huo ni uzuzu kujadili mamipira kila wakati
Hawataki wajadili kuwa Tanzania hii tunaweza kulima na kuzalisha matairi ya boda boda, dala dala na malori hata yasitoke China na watu wakapata hela.Haya ndiyo mambo ccm wanapenda kuona waTanganyika masikini mkikesha nayo usiku na mchana
Huo ndo ukweliHawataki wajadili kuwa Tanzania hii tunaweza kulima na kuzalisha matairi ya boda boda, dala dala na malori hata yasitoke China na watu wakapata hela.