Wanasiasa wasiokuwa na bahati

Wanasiasa wasiokuwa na bahati

Mogern Shangerai - Zimbabwe
Raila Odinga - Kenya
Kiza Besije - Uganda
Maalim Seif - Zanzibar

Lowassa /???? No bado hadi agombee zaidi ya mara 2
LOWASSA KAMWE ASIOTE KUWA RAIS WA NCHI HII. HAPATI NG'O!!!!
 
Wengine Wasio na bahati ya kisiasa

Mama LOWASA
Askofu Kakobe
askofu Gwajima
Mtume na nabii Mwingira
DK slaa
 
Sio kwamba Lowassa hana bahati,hujuma ndio zimemharibia.
Ila ngoja tuone,kama IPO,IPO tu.
 
Mogern Shangerai - Zimbabwe
Raila Odinga - Kenya
Kiza Besije - Uganda
Maalim Seif - Zanzibar

Lowassa /???? No bado hadi agombee zaidi ya mara 2
Lowassa yeye Sio kutokuwa na bahati
Huyo ana laana
 
Kuna vituko sana nchi hii

1. Leo Jecha anatoka na vifungu vya sheria, hakuwahi kueleza vifungu vilivyompa haki yeye binafsi au tume ya uchaguzi kufuata uchaguzi

2. Jecha hajatoa kifungu cha katiba kinachoonyesha utaratibu wa uchaguzi wa marudio. Nimeipitia katiba ya ZNZ ya 1984 na marekebisho yote sikuona kitu kinaitwa uchaguzi wa marudio wa nchi nzima isipokuwa wa eneo lenye utata

3. Jecha hajatoa kfungu anachosimama nacho kufuta matokeo.
Alikuja na malalamiko 10 ambayo leo hayaongelei amebaki na la kujitangaza

4. Jecha hajaonyesha kifungu cha kujitangaza kinatoa hukumu gani kwa aliyefanya

5. Jecha anasema majina yatakuwa yale yale bila kutueleza sheria za tume yake na katiba zinasemaje

6. Jecha huyo huyo anayesema wagombea ni wale wale anatoa ulinzi kwa waliokubali kushiriki. Hawa waliokubali kushiriki ni wapi ikiwa majina ni yale yale kama alivyosema hapo juu?

7, Jecha anasema tume itatoa ulinzi. Ulinzi na usalama wa wagombea hautolewi na tume kwasababu si mamlaka yake. Tume inaomba ulinzi kutoka vyombo husika!

8. Jecha aliwahi kukaririwa na gazeti moja akisema amethibitisha vyama kutoshiriki.
Leo hajarudi kufuta kauli ile anapandikiza nyingine. Jecha anajua anachosema?
Ishi na vifungu mpaka kuzimu
Uchaguzi ni march20
 
Mwanasiasa wa kwanza kutokuwa na bahati ni Mtatiro... Vijana wenzake alionzanao siasa tangu chuo wameshatoka yeye ndio kama hivyo kasanda na kubakia kuwa 'mwandishi wa habari'... Kiukweli kukosa ubunge kwa Mtatiro huwa kunanisikitisha kuliko vitu vingine vyote hapa Duniani...
Hehehe Mbaya zaidi kajiunga na kundi la ZIHESHIMIWE FIKRA ZA MBOWE
ana kazi
 
Lowassa kuvunja rekodi baada ya kufanya jaribio kupitia vyama viwili vikubwa na kukosa pote
 
Mogern Shangerai - Zimbabwe
Raila Odinga - Kenya
Kiza Besije - Uganda
Maalim Seif - Zanzibar

Lowassa /???? No bado hadi agombee zaidi ya mara 2
ukiufikirisha ubongo wako unaweza kupata maana sahihi ya neno bahati
 
Lowassa yeye Sio kutokuwa na bahati
Huyo ana laana

Tatizo Lowasa anajua kabisa kallaniwa na sababu za kulaaniwa anazijua vizurihalafu anajifanya kiziwi jukitosa kugombea hivyo hivyo.

Mwenyezi Mungu hadhihakiwi hata siku moja.Ushauri wangu kwake aachane na siasa kabisa awe tu mtu wa kusali akimwomba Mungu amsamehe madhambi yake makubwa ya kutisha ambayo anayajua na aishi maisha ya dini tu akijiandaa safari ya huko aendako baada ya safari yake ya dunia kuisha.
 
mimi namuangalia kiongozi mmoja ambaye takriban vipindi vitano anagombea Urais wa Zanzibar ni Maalim Seif Sharif Hamad, huyu sijuwi niseme amekosa bahati kama mwandishi alivyosema au kutokana na mambo yake anayoyafanya katika uongozi wake aliwahi kuwa Waziri wa Elimu, tumesikia mambo mengi aliyofanya ambayo sio mazuri alifika hatua ya kwenda Ofisini na kama hajamkuta mfanyakzi hayupo basi anamfukuza kazi aliwahi kuwa Waziri Kiongozi katika Serikali ya Zanzibar kipindi cha Ali Hassan Mwinyi pamoja na Ndugu Idrissa Abdul Wakil wakati huo mambo mengi mabaya alifanya hata kufikia kutimuliwa uongozi ndani ya Chama na Serikali kw hiyo huyu sio kama amekosa bahati bali ni ukiritimba wake wa uongozi kwa kutaka ulafi wa madaraka ya Nchi.
 
Eti uraisi anatoa Mungu nani kasema uraisi unatoa Ccm maana mnalazimishaa mpaka mnajipa
 
Back
Top Bottom