Kuna mambo acha kumtaja Mungu kabisa. Nlishawah sema pia kuwa Mungu hataki kushiriki siasa zetu kabisa. Mungu aliacha watu wafanye wanavyotka. 2005 mlituaminisha xxx chaguo la Mungu kumbe alikuwa na miungu yake mwenyewe ya ushirikina. Nchi yetu ikaingia kwenye umaskibi na ufisad mkubwa.na sasa mnataka kuleta siasa za namna hiyo tena. Kama atafanya vizur tumshukuru Mungu
QUOTE="kabombe, post: 15392905, member: 37143"]Urais unatolewa na mungu,kama hajaamua hata ugombee mara 12
Mpaka kufikia june,2015,kuna mtanzania yoyote aliwaza kuwa magufuli atakua Rais?[/QUOTE]