Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,184
- 11,607
Miongoni mwa shughuli zinazofanywa na kutegemewa na vijana kupoteza na kujipatia kipato ni pamoja na kubeti.
Kazi hii imevamiwa pia na wanasiasa wengi kwa sasa, wapo wanaofahamika na wasiofahamika pia.
Bila kujali vyama vyao unadhani ni wanasiasa gani wanaongoza kwa kubeti nchini kwa sasa?
Kazi hii imevamiwa pia na wanasiasa wengi kwa sasa, wapo wanaofahamika na wasiofahamika pia.
Bila kujali vyama vyao unadhani ni wanasiasa gani wanaongoza kwa kubeti nchini kwa sasa?