The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Too sad.
Siwezi sana kusema lakini wanasiasa mmeharibu sana kwa leo. CCM acheni kujifanya hii nchi ni mali yenu wala haitakuja kuwa mali ya wanasiasa ni mali ya Wananchi wa Tanzania. Watu wametoka Zambia, Songea, Mwanza na kwingine halafu mnarahisisha mambo? Mtakuja kuichoma moto nchi hii.
Siwezi sana kusema lakini wanasiasa mmeharibu sana kwa leo. CCM acheni kujifanya hii nchi ni mali yenu wala haitakuja kuwa mali ya wanasiasa ni mali ya Wananchi wa Tanzania. Watu wametoka Zambia, Songea, Mwanza na kwingine halafu mnarahisisha mambo? Mtakuja kuichoma moto nchi hii.