Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,820
- 8,886
Jamani mimi kuna jambo linanitatiza naomba tulijadili. Kwa ambao tumefuatilia mwenendo wa hii vita ya ufisadi kila mtu anasema kwamba kesi zipelekwe mahakamani kwenye vyombo vya sheria watuhumiwa wawajibishwe. Kifupi kila mtu..fisadi na asiye fisadi, mkulima na mfanyakazi, mtawala na mtawaliwa..wote tunaamini kwamba sheria ndo suluhu ya huu ufisadi! Lakini cha kushangaza ni kwamba hizi kesi ambazo zinahusu mabillion ya pesa za walipa kodi zimekuwa zikitupiliwa mbali kila zikifikishwa pale mahakamani Kutokana na makosa madogo madogo "technicalities".
Maoni na maswali yangu ni haya:
1. Iweje hizi technicalities ziwe ni kwenye kesi kubwa kubwa tuu zinazohusisha pesa nyingi na wala siyo kesi za walalahoi akina Babu Seya na wengineo? Mfano Liyumba kaachiwa..fuatilia kesi za akina Yona, Mramba et al..issue ni ile ile..hati za mashtaka zinakosewa kuandikwa! na angalia pesa iliyo-involved! Ina maana kweli watu hawajifunzi kwa kosa moja? Tumeona mikataba ya Buzwagi, IPTL, TANESCO, DOWANS name them..Mikataba inaacha maswali mengi kuliko majibu. Hawa watu walisoma vyuo gani????? hata kama ni siasa na kulazimishwa..hawakufundishwa hata minimum decency ya neno ethics?
2. Ina maana wanasheria wetu kweli hawawezi kudraft document isiyo na makosa ambayo inaweza kukubaliwa mahakamani? Labda tuambiwe nani anahakiki documents kama hizi kabla hazijapelekwa mahakamani? siwezi amini kwamba hati ya mashtaka ya billion 225 itapitiwa na legal officer..bila kuhakikiwa na principal State Attorney. Ni vigumu kuamini.
3. Is it possible kwamba haya makosa yanafanywa kimakusudi kuwanusuru wahusika wakati huo huo wakituridhisha sisi walalahoi kwamba sheria ndo imewaachia wahusika? Na ni nani atawawajibisha hawa wanasheria uchwara? No way..somebody must answer for this mess!
4. Ofcourse mahakama ina haki na wajibu wa kumuachilia mtuhumiwa kama hati ina makosa, lakini hebu tujiulize..what is happening katika huu mchezo wa kupelekana mahakamani?
5. Kama wanasheria wetu hawawezi ku-prosecute kesi kubwa kama hizi,je kuna haja ya kutafuta independent prosecutors kuendesha hizi kesi?
6. NAJUA KUNA WANASHERIA WANA INTEGRITY. Lakini lazima tufike mahali tushtuke..this is too much! Ina maana wanasheria ofisi za serikali wote ni vilaza? who does the hiring then? Hapana nahisi wananchi tunachezewa akili na wala nchi.
HAIWEZEKANI TUDANGANYWE kwamba sheria zipo harafu hao hao wahusika wanacheza na hizo sheria sisi tunaonekana wajinga. Siyo wote tumebahatika kusoma sheria. LAKINI naamini mtu aliyesomea kazi yake, huwezi peleka document mahakamani bila kuihakiki! Ingekuwa ni typo error..ingekuwa kingine..but for Heavens sake..hapa tunamtuhumu mtu kutuibia kama taifa more than 225 billions! and we let the guy scot free..simply because we cant draft a proper charge sheet? Mungu atunusuru!
Maoni na maswali yangu ni haya:
1. Iweje hizi technicalities ziwe ni kwenye kesi kubwa kubwa tuu zinazohusisha pesa nyingi na wala siyo kesi za walalahoi akina Babu Seya na wengineo? Mfano Liyumba kaachiwa..fuatilia kesi za akina Yona, Mramba et al..issue ni ile ile..hati za mashtaka zinakosewa kuandikwa! na angalia pesa iliyo-involved! Ina maana kweli watu hawajifunzi kwa kosa moja? Tumeona mikataba ya Buzwagi, IPTL, TANESCO, DOWANS name them..Mikataba inaacha maswali mengi kuliko majibu. Hawa watu walisoma vyuo gani????? hata kama ni siasa na kulazimishwa..hawakufundishwa hata minimum decency ya neno ethics?
2. Ina maana wanasheria wetu kweli hawawezi kudraft document isiyo na makosa ambayo inaweza kukubaliwa mahakamani? Labda tuambiwe nani anahakiki documents kama hizi kabla hazijapelekwa mahakamani? siwezi amini kwamba hati ya mashtaka ya billion 225 itapitiwa na legal officer..bila kuhakikiwa na principal State Attorney. Ni vigumu kuamini.
3. Is it possible kwamba haya makosa yanafanywa kimakusudi kuwanusuru wahusika wakati huo huo wakituridhisha sisi walalahoi kwamba sheria ndo imewaachia wahusika? Na ni nani atawawajibisha hawa wanasheria uchwara? No way..somebody must answer for this mess!
4. Ofcourse mahakama ina haki na wajibu wa kumuachilia mtuhumiwa kama hati ina makosa, lakini hebu tujiulize..what is happening katika huu mchezo wa kupelekana mahakamani?
5. Kama wanasheria wetu hawawezi ku-prosecute kesi kubwa kama hizi,je kuna haja ya kutafuta independent prosecutors kuendesha hizi kesi?
6. NAJUA KUNA WANASHERIA WANA INTEGRITY. Lakini lazima tufike mahali tushtuke..this is too much! Ina maana wanasheria ofisi za serikali wote ni vilaza? who does the hiring then? Hapana nahisi wananchi tunachezewa akili na wala nchi.
HAIWEZEKANI TUDANGANYWE kwamba sheria zipo harafu hao hao wahusika wanacheza na hizo sheria sisi tunaonekana wajinga. Siyo wote tumebahatika kusoma sheria. LAKINI naamini mtu aliyesomea kazi yake, huwezi peleka document mahakamani bila kuihakiki! Ingekuwa ni typo error..ingekuwa kingine..but for Heavens sake..hapa tunamtuhumu mtu kutuibia kama taifa more than 225 billions! and we let the guy scot free..simply because we cant draft a proper charge sheet? Mungu atunusuru!