Wanasheria Mnatungusha Watanzania

Kuna mtu Kanisms eti Waziri Mkuu mtoto wa Mkulima naye amesomea sheria! .....sijui anatetea nini! Kulia bungeni?
 
Masa umesahau kazi ya Mwakyembe eeh!!!??
unaangalia tu penye ubaya ukosoe na kizuri husifii!!!!

haya Ngambo Ngali endeleza list na wewe!!!
 
Masa umesahau kazi ya Mwakyembe eeh!!!??
unaangalia tu penye ubaya ukosoe na kizuri husifii!!!!

haya Ngambo Ngali endeleza list na wewe!!!

Nimekubali hapo you have my 10 cents! Ila walio wengi ndo wale akina Chenge....wanadilute hata wale wazuri
 
Nimekubali hapo you have my 10 cents! Ila walio wengi ndo wale akina Chenge....wanadilute hata wale wazuri

Madhara ya makosa waliyoyafanya hao Chengez ni makubwa mno ndo maana yameishia kufunika mazuri yaliyofanya na wengine.

Matumaini yangu kwa Tundu Lissu ni makubwa ila naogopa tu the so called system.................
 
I have to say...

Sheria ni field muhimu sana! Ila its an area where one can be creative and manipulative! tatizo kubwa la Tz ni ujinga! Na adui wa sheria ni ujinga! Kama wewe ni mjinga, basi siku zote sheria itakukula!

Wa-tz wangapi wanaelewa hata basics za sheria...kama Haki zao? Hii ndo sababu moja kuu imenifanya nisomee sheria...kuondoa ujinga! I think you have come across this saying: "ignorance of the law is not a defence!" Sasa kama wewe utakuwa mjinga na kushindwa kudai haki yako....mwanasheria aliye creative na manipulative atakudanganya kwa kusudi la kukuibia. Na hichi ndicho kinachoendelea Tz.

So in the end i have come to agree with Nyerere...Adui mkubwa wa Taifa ni Ujinga,... Tukiondoa huo, basi tutaweza kujipanga sawasawa!

Pia ningependa kuwaunga mkono wale waliotaja morals! We (tanzanians) lack a sense of dignity and moral!
 
Masa umesahau kazi ya Mwakyembe eeh!!!??
unaangalia tu penye ubaya ukosoe na kizuri husifii!!!!

haya Ngambo Ngali endeleza list na wewe!!!

Sijaambiwa wanasheria walio madarakani bado bht, nasubiri orodha
 
Hivi kati ya Marais waliotawala njii hii so far kuna mwanasheria?

Julius - (teacher-historian-polieconomist)
Ali - (teacher)
Benjamin - (artist)
Jakaya - (economist)
 
Hivi kati ya Marais waliotawala njii hii so far kuna mwanasheria?

Julius - (teacher-historian-polieconomist)
Ali - (teacher)
Benjamin - (artist)
Jakaya - (economist)

Hahahahah huyu tulienaye sasa ni mzigo kweli kweli, sijui hata kama anakumbuka alisoma nini...hata basic principals za uchumi hana
 
Jamani mke wangu ni mwanasheria, ila kila siku namuambia hii fani yenu inaiangamiza nchi kwani mmekuwa wanasheria msio na maadili wala upeo, kama kweli wangekuwa maadili basi nchi hii isingeingia kwenye mikataba mibovu ya madini na wawekezaji feki.

Hii inamaanisha kuwa pale ambapo waziri ana percent fulani nao hupata ila wanauwezo wa kukataa kusaini kila jambo linalopindisha sheria na kanuni za mikataba au malipo, ila wanasheria wetu huwa hawajiamini na wanashirikiana na mafisadi matokeo yake wanaingizia nchi kwenye matatizo makubwa.
 
Najua nitarushiwa mawe! Nimejiandaa kwa hilo.

Nimeamka na hang over nikitafakari nchi yangu niipendayo inaelekea wapi. Nimegundua wanasheria they have real fuc..k..ed our country. Ukianzia na Chenge Andrew yule ni mwanasheria, Hosea wa PCB amesomea sheria, Mzee Msekwa amesomea sheria, Mzee Sitta aliyeingia kwa mbwembwe kwenye usipika kumbe naye ni msanii ni mwanasheria, wale jamaa walikuwa wana sign mikataba hewa ya deep green ni wanasheria tena wazawa wa nchi hii hii....

Lawrence Masha naye alikuja na issue yake ya kimitego na vitambulisho lohh the list goes on

whats wrong na wanasheria hivi hawana uchungu na nchi yetu?

Hapa sijui umewachukulia wanasheria wana haribu nchi hii kwa mtazamo upi, kwa mimi mtazamo wa kwanza ni ile mwanasheria kufanya kazi yake ya sheria kwa kusimamia mambo yanayohusu sheria mfano andrew chage, pili ni ile mwanasheria kuteuliwa kushika wadhifa mwingine zaidi ya sheria mfano spika sita.

Nchi hii imefuata sana mfumo na taratibu za kiingereza kupendelea kuwapa wanasheria kuongoza mambo mbalimbali kama tume.kamati, nk wakiamini kuwa kutokana na taaluma zao watatenda haki na kwa mujibu wa sheria bila upendeleo, na ndio maana mara utasikia tume ya jaji fulani, tume ya uchaguzi, msajili nk nk.

Sasa hiii yote inapelekea wanasheria kuonekana ulivyosema. hili la mwanasheria kupewa wadhiwa mwingine siwezi kuliongelea sana. La mwanasheria kama mwanasheria hili unapaswa kujua kuwa kazi ya mwanasheria hasa katika mikataba ambayo ndio tabu kubwa nchi hii ni kuyaweka kisheria mambo ambayo pande mbili zimekubaliana, watu wa maswala ya tender, procurement wao ndio wana bargain power kisha wakimaliza wanakwenda kwa mwanasheria kuyaweka hayo walio kubaliana kisheria.

Sio kama nawatetea wako safi, hapana,mikataba mingi iliyo leta utata iliingiliwa na wana siasa wakafanya maamuzi yao kisiasa, mwanasheria anawajibu wa kushauri pia lakini tumeona hivi majuzi wakati wa kikao cha bunge jinsi ilivyokuwa ngumu kuwashauri wanasiasawakati wanapitisha sheria ya mifugo, kila mwanasheia akisema hivi wabunge wana kataa.

Kwa mfano hivi karibuni kamati ya akina zito ilipendekeza inunuliwe mitambo chakavu ya dowans serikali ingekubali unategemea mwanasheria atafanyanini, wanasheria ni binadamu wanamabungufu yao.

SWALA KUONGOZA KUFUJA MALI ZA UMMA BASI WATU WA PROCUREMENT WANAONGOZA
 
Many of them are unprofessional, wanashindana nani ana ujiko na mshiko zaidi ya mwenzie, nani ana nyumba nzuri zaidi, nani ana gari expensive zaidi, nani ana demu au king'asti mkali au wengi zaidi,hakuna anayejiuliza nani ameisaidia nchi zaidi. Kuna ambao wanafanya ujambazi then wanatumia pesa waliokwapua kutoa sadaka (Mkono).
 
Mawaziri wakuu je?

Rashid (RIP) (social science - elimu ya watu wazima)
Edward M (studies in administration)
John (BCom, Honoris Causa: Doctor of Humanities)
Cleopa (social science - Makerere)
Salim ( MA - International Affairs, Honoris Causa: Doctor of Laws, Doctor of Humanities, Doctor of Civil Law, Doctor of Arts in International Affairs, Doctor of Philosophy in International Relations, Doctor of Laws)
Joseph (LLB)
Sumaye (MA - Public Administration)
Edward L - (BA - Theatre Arts, MA - Development Studies)
Mizengo - (LLB)
 
Many of them are unprofessional, wanashindana nani ana ujiko na mshiko zaidi ya mwenzie, nani ana nyumba nzuri zaidi, nani ana gari expensive zaidi, nani ana demu au king'asti mkali au wengi zaidi,hakuna anayejiuliza nani ameisaidia nchi zaidi. Kuna ambao wanafanya ujambazi then wanatumia pesa waliokwapua kutoa sadaka (Mkono).

dah Ama umenikumbusha huyo mjomba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

sasa si bora yeye anawakumbuka ahata hao alowachezea mchezo mchafu kiaina??
 
Many of them are unprofessional, wanashindana nani ana ujiko na mshiko zaidi ya mwenzie, nani ana nyumba nzuri zaidi, nani ana gari expensive zaidi, nani ana demu au king'asti mkali au wengi zaidi,hakuna anayejiuliza nani ameisaidia nchi zaidi. Kuna ambao wanafanya ujambazi then wanatumia pesa waliokwapua kutoa sadaka (Mkono).

Unprofessional? hapo mkuu unaingiza ushabiki, matatizo ya kutaka hayo uliyo yataja ni kwa fani zote mkuu.kunawatu wanafuja hela ya nchii hii acha mchezo, kuna ma HR, wahasibu, watu wa manunuzi,nk sema tu kutokana na nature za kazi zao sio rahisi kuwajua kama wanasheria
 
Back
Top Bottom