Nitajie wanasheria 4 walio madarakani ambao wanatetea maslahi ya nchi! You have my 10 sent ukiweza
Masa umesahau kazi ya Mwakyembe eeh!!!??
unaangalia tu penye ubaya ukosoe na kizuri husifii!!!!
haya Ngambo Ngali endeleza list na wewe!!!
Yuko: Dr. Slaa; Dr. Mwakyembe; Halima Mdee na Tindu Antipas Lisu (Mbunge in the offing)
Nimekubali hapo you have my 10 cents! Ila walio wengi ndo wale akina Chenge....wanadilute hata wale wazuri
tenga is one of them asiyejari maslai
tenga is one of them asiyejari maslai
Masa umesahau kazi ya Mwakyembe eeh!!!??
unaangalia tu penye ubaya ukosoe na kizuri husifii!!!!
haya Ngambo Ngali endeleza list na wewe!!!
Yuko: Dr. Slaa; Dr. Mwakyembe; Halima Mdee na Tindu Antipas Lisu (Mbunge in the offing)
Hivi kati ya Marais waliotawala njii hii so far kuna mwanasheria?
Julius - (teacher-historian-polieconomist)
Ali - (teacher)
Benjamin - (artist)
Jakaya - (economist)
Najua nitarushiwa mawe! Nimejiandaa kwa hilo.
Nimeamka na hang over nikitafakari nchi yangu niipendayo inaelekea wapi. Nimegundua wanasheria they have real fuc..k..ed our country. Ukianzia na Chenge Andrew yule ni mwanasheria, Hosea wa PCB amesomea sheria, Mzee Msekwa amesomea sheria, Mzee Sitta aliyeingia kwa mbwembwe kwenye usipika kumbe naye ni msanii ni mwanasheria, wale jamaa walikuwa wana sign mikataba hewa ya deep green ni wanasheria tena wazawa wa nchi hii hii....
Lawrence Masha naye alikuja na issue yake ya kimitego na vitambulisho lohh the list goes on
whats wrong na wanasheria hivi hawana uchungu na nchi yetu?
Many of them are unprofessional, wanashindana nani ana ujiko na mshiko zaidi ya mwenzie, nani ana nyumba nzuri zaidi, nani ana gari expensive zaidi, nani ana demu au king'asti mkali au wengi zaidi,hakuna anayejiuliza nani ameisaidia nchi zaidi. Kuna ambao wanafanya ujambazi then wanatumia pesa waliokwapua kutoa sadaka (Mkono).
Many of them are unprofessional, wanashindana nani ana ujiko na mshiko zaidi ya mwenzie, nani ana nyumba nzuri zaidi, nani ana gari expensive zaidi, nani ana demu au king'asti mkali au wengi zaidi,hakuna anayejiuliza nani ameisaidia nchi zaidi. Kuna ambao wanafanya ujambazi then wanatumia pesa waliokwapua kutoa sadaka (Mkono).