Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,279
- 105,482
Tatizo hapa ni zaidi ya Wanasheria.
Si lazima kuwa mwanasheria ili kufungua kesi, si lazima kuwa mwanasheria kumshitaki mtu, si lazima kuwa mwanasheria kuanzisha "grassroot organization", si lazima kuwa mwanasheria kumbana mbunge, speaking of that, sio lazima kuwa mwanasheria ili kuwa mbunge na kwenda kutunga sheria.
Sasa huku kulia lia kuhusu Wanasheria, kunaweza kueleweka kwa upande mmoja, lakini upande wa pili tunarudi pale pale, tumezoea mtu fulani atufanyie kazi, tunatafuta mtu wa kumlaumu na kumtwika matatizo yetu.
Mwanasiasa, Mwanasheria, Fisadi, Msomi, mtu yeyote, mtu yeyote kasoro sisi wenyewe.
Wewe unayewalaumu wanasheria umefanya nini kwanza?
Si lazima kuwa mwanasheria ili kufungua kesi, si lazima kuwa mwanasheria kumshitaki mtu, si lazima kuwa mwanasheria kuanzisha "grassroot organization", si lazima kuwa mwanasheria kumbana mbunge, speaking of that, sio lazima kuwa mwanasheria ili kuwa mbunge na kwenda kutunga sheria.
Sasa huku kulia lia kuhusu Wanasheria, kunaweza kueleweka kwa upande mmoja, lakini upande wa pili tunarudi pale pale, tumezoea mtu fulani atufanyie kazi, tunatafuta mtu wa kumlaumu na kumtwika matatizo yetu.
Mwanasiasa, Mwanasheria, Fisadi, Msomi, mtu yeyote, mtu yeyote kasoro sisi wenyewe.
Wewe unayewalaumu wanasheria umefanya nini kwanza?