kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Wanabisha nini, kwamba Lissu hakusema kama ataasi? Kwamba Lissu hakusema atavunja Katiba na sheria kwa kuzuia uchaguzi wa kikatiba usifanyike nchi nzima ili nchi ibaki bila ya Rais?
Kile wanachobisha hawa wanasheria wetu ni kipi, kwamba hakuna mtu (shahidi) aliyesikia kile Lissu alichokisema? Kwanini wanawachukia hao mashahidi, uongo wao hawa mashahidi ni upi?
Yaani wanachotamani hawa wanasheria wetu ni kusikia kuwa hakuna mtu aliyemuona wala kumsikia Lissu akisema wataasi, watakinukisha na watazuia uchaguzi usifanyike. Automatically kama hakuna uchaguzi hakuna Rais halali. Watanzania wote wameona namna maneno ya Lissu ya kuasi yalivyotekelezwa Oct 29 sawasawa na kauli yake ya kuasi.
View: https://www.youtube.com/live/a8Ao0J7cMWQ?si=QBYHRJVlJOiF8iDv
Kile wanachobisha hawa wanasheria wetu ni kipi, kwamba hakuna mtu (shahidi) aliyesikia kile Lissu alichokisema? Kwanini wanawachukia hao mashahidi, uongo wao hawa mashahidi ni upi?
Yaani wanachotamani hawa wanasheria wetu ni kusikia kuwa hakuna mtu aliyemuona wala kumsikia Lissu akisema wataasi, watakinukisha na watazuia uchaguzi usifanyike. Automatically kama hakuna uchaguzi hakuna Rais halali. Watanzania wote wameona namna maneno ya Lissu ya kuasi yalivyotekelezwa Oct 29 sawasawa na kauli yake ya kuasi.
View: https://www.youtube.com/live/a8Ao0J7cMWQ?si=QBYHRJVlJOiF8iDv