Wanasayansi tunaamini Mungu alikuwepo lakini kwa sasa hayupo

ego

JF-Expert Member
Apr 10, 2013
1,620
1,407
Upo ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa Mungu kwa maana ya creator alikuwepo. Haiingii akili kwa mtu kudhani viumbe hai hawakutengenezwa na mazingira haya yanayotuzunguka yalitukia yenyewe tu.

lakini ni kichekesho kikubwa kwa mtu yeyote leo kudai kitu au vitu vilivyokuwa na nguvu na uelewa huu wa ajabu leo hii vipo vinanongoneza watu kwenye ndoto, maono, kutafutia watu kazi, kutafutia watu wachumba n.k.

hakuna anayefurahi kutokuwepo kwa mungu lakini ni lazima tutizame ukweli wa mambo katika uhalisia wake.
 
Ushahidi upi?


yapo mambo ambayo logically leo hii ukiambiwa yalitokea yenyewe kuna mantiki, mfano tazama mawe yalivyo hayana umbo maalumu, hayana ukubwa maalumu yaani utengenezwaji wake unaonekana kutofuata kanuni maalumu.

lakini hebu chukua simu yako ya mkononi na je unaweza kuamini kuwa kitu kama simu ya mkononi inaweza kutokea yenyewe ikawa na functions hizo unazozitumia?

jiulize kompyuta inaweza kutokea yenyewe?

sasa tuje kwako wewe mwenyewe, je wajua mwili wako ulivyo una mifumo kuliko ya kompyuta? je unadhani kiumbe kama wewe hukutengenezwa bali ulitokea mwenyewe ukawa na mifumo inayoonekana kutengenezwa kwa kanuni na kwa lengo?

ni wazi wanadamu hawa walitengenezwa na kilichowatengeneza ndicho mungu.
 
This is a pure comedy! It shows how empty minded person you are just to imagine a possibility that God is not there....
When HE doesn't show up its for our own good!
 
yapo mambo ambayo logically leo hii ukiambiwa yalitokea yenyewe kuna mantiki, mfano tazama mawe yalivyo hayana umbo maalumu, hayana ukubwa maalumu yaani utengenezwaji wake unaonekana kutofuata kanuni maalumu.

lakini hebu chukua simu yako ya mkononi na je unaweza kuamini kuwa kitu kama simu ya mkononi inaweza kutokea yenyewe ikawa na functions hizo unazozitumia?

jiulize kompyuta inaweza kutokea yenyewe?

sasa tuje kwako wewe mwenyewe, je wajua mwili wako ulivyo una mifumo kuliko ya kompyuta? je unadhani kiumbe kama wewe hukutengenezwa bali ulitokea mwenyewe ukawa na mifumo inayoonekana kutengenezwa kwa kanuni na kwa lengo?

ni wazi wanadamu hawa walitengenezwa na kilichowatengeneza ndicho mungu.


kama kompyuta haiwezi kutokea yenyewe,je mtengeneza kompyuta anaweza kutokea from no where?
okay,let say dunia haiwez kujitokeza tu yenyewe coz iko complicated sana,so ina hitaji mtu aliye i design.je inawezakuja akilin kuwa aliye i design alitokea tu from no where?there might be a power somewhere controling these things ,but i bet kama this power needs to be worshiped,kuwa hii nguvu itahukumu viumbe wake kwa kuwa choma moto.will worms be judged too?
Again,there might be power somewhere lakin sio hii inayoaminiwa na wa kristo,islam etc kuwa itakuja kujudge ourlives one day.just my opinion like yours
 
Upo ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa Mungu kwa maana ya creator alikuwepo. Haiingii akili kwa mtu kudhani viumbe hai hawakutengenezwa na mazingira haya yanayotuzunguka yalitukia yenyewe tu.

lakini ni kichekesho kikubwa kwa mtu yeyote leo kudai kitu au vitu vilivyokuwa na nguvu na uelewa huu wa ajabu leo hii vipo vinanongoneza watu kwenye ndoto, maono, kutafutia watu kazi, kutafutia watu wachumba n.k.

hakuna anayefurahi kutokuwepo kwa mungu lakini ni lazima tutizame ukweli wa mambo katika uhalisia wake.
Usiseme wanasayansi tunaamini.. Sema wewe mwanasayansi unaamini.. Kuna wanasayansi wengi wakubwa bado wanaamini kuna Mungu..na sababu kuu ni kwamba kuna vitu bado sayansi inashindwa kuvidadavua mfano creation..
 
This is a pure comedy! It shows how empty minded person you are just to imagine a possibility that God is not there....
When HE doesn't show up its for our own good!

inawezekana comments zako zinaonyesha how clever you are kama ulishawahi kumuona na unakubali kuwa kweli What created everything kwa sasa kinafanya vitu simple tu ambavyo havireflect nguvu ya ajabu yoyote au how empty minded wewe mwenyewe ulivyo kukubali hadithi ndogo kuwa ndio uthibitisho.

kwa mtu anayewaza hawezi kusema eti Mungu kutoonekana ni kwa faida yako, wakiambizana eti kumuona mungu kunaambatana na dhoruba kali! ni walewale wanaoambizana stori za mama yako mchawi na wakakubaliana, yaani mama yako amekuzaa, akakulea mpaka ukawa mkubwa hivyo alafu akaanza kukuloga ukiwa mkubwa na unakuja kuambiwa na mtu ambaye anahitaji umpe pesa tu na unakubali unamtenga mama yako! mtu yeyote asiyeweza kustuka kuwa hapa hapa nadanganywa kichwani ni mweupe kabisa.

sasa mungu amekutengeneza ukawepo umefikia umri huo eti unaambiwa ukimuona unaambatana na dhoruba na ni hatari??? kwa mtu makini anajua hii stori inaweza kuwa na lengo la kuficha ukweli fulani. kama unavyoona unataka kumzuia mtoto asifanye jambo fulani au asiende sehemu fulani basi unatengeneza hadithi ya kutisha kumzuia ndivyo wanadamu wanajiona welevu wanavyotengenezewa hadithi za kutisha ili wasitafiti ukweli. na hawa wakisha kalili hadithi hizo hawawazi bali kuzikaili na kuzirudia wakijiona wajuaji sana na kuwaita wanahoji mbumbumbu.
 
yapo mambo ambayo logically leo hii ukiambiwa yalitokea yenyewe kuna mantiki, mfano tazama mawe yalivyo hayana umbo maalumu, hayana ukubwa maalumu yaani utengenezwaji wake unaonekana kutofuata kanuni maalumu.

lakini hebu chukua simu yako ya mkononi na je unaweza kuamini kuwa kitu kama simu ya mkononi inaweza kutokea yenyewe ikawa na functions hizo unazozitumia?

jiulize kompyuta inaweza kutokea yenyewe?

sasa tuje kwako wewe mwenyewe, je wajua mwili wako ulivyo una mifumo kuliko ya kompyuta? je unadhani kiumbe kama wewe hukutengenezwa bali ulitokea mwenyewe ukawa na mifumo inayoonekana kutengenezwa kwa kanuni na kwa lengo?

ni wazi wanadamu hawa walitengenezwa na kilichowatengeneza ndicho mungu.
Bado haujatoa ushahidi wowote ule. Nikuulize, je unajua kuwa ukiacha uchafu sehemu funza watatokea? au unajua ukiacha nywele chafu chawa watatokea? nani atakua amewaumba hao? Kutokujua majibu ya maswali yako haku-prove ukweli wa conclusion yako kwamba mungu ndio aliyeviumba. Na kama unataka ku-reverse engineer kila kitu utafika sehemu kwa Mungu utajiuliza na yeye ameumbwa na nani? (hapa ndio wengi huwa mnasema yeye hajaumbwa alikuwepo tu). Kuamini kuwepo kwa mungu hauwezi kuprove kwa science brother, throw logic out of the window, we amini tu wala usilete mambo ya science kwa sababu utashindwa kujibu.
 
Upo ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa Mungu kwa maana ya creator alikuwepo. Haiingii akili kwa mtu kudhani viumbe hai hawakutengenezwa na mazingira haya yanayotuzunguka yalitukia yenyewe tu.

lakini ni kichekesho kikubwa kwa mtu yeyote leo kudai kitu au vitu vilivyokuwa na nguvu na uelewa huu wa ajabu leo hii vipo vinanongoneza watu kwenye ndoto, maono, kutafutia watu kazi, kutafutia watu wachumba n.k.

hakuna anayefurahi kutokuwepo kwa mungu lakini ni lazima tutizame ukweli wa mambo katika uhalisia wake.
andika uzi wako kisayansi kama kweli wewe ni mwanasayansi sio bla bla bila facts zenye mifano
 
inawezekana comments zako zinaonyesha how clever you are kama ulishawahi kumuona na unakubali kuwa kweli What created everything kwa sasa kinafanya vitu simple tu ambavyo havireflect nguvu ya ajabu yoyote au how empty minded wewe mwenyewe ulivyo kukubali hadithi ndogo kuwa ndio uthibitisho.

kwa mtu anayewaza hawezi kusema eti Mungu kutoonekana ni kwa faida yako, wakiambizana eti kumuona mungu kunaambatana na dhoruba kali! ni walewale wanaoambizana stori za mama yako mchawi na wakakubaliana, yaani mama yako amekuzaa, akakulea mpaka ukawa mkubwa hivyo alafu akaanza kukuloga ukiwa mkubwa na unakuja kuambiwa na mtu ambaye anahitaji umpe pesa tu na unakubali unamtenga mama yako! mtu yeyote asiyeweza kustuka kuwa hapa hapa nadanganywa kichwani ni mweupe kabisa.

sasa mungu amekutengeneza ukawepo umefikia umri huo eti unaambiwa ukimuona unaambatana na dhoruba na ni hatari??? kwa mtu makini anajua hii stori inaweza kuwa na lengo la kuficha ukweli fulani. kama unavyoona unataka kumzuia mtoto asifanye jambo fulani au asiende sehemu fulani basi unatengeneza hadithi ya kutisha kumzuia ndivyo wanadamu wanajiona welevu wanavyotengenezewa hadithi za kutisha ili wasitafiti ukweli. na hawa wakisha kalili hadithi hizo hawawazi bali kuzikaili na kuzirudia wakijiona wajuaji sana na kuwaita wanahoji mbumbumbu.
Mungu akiamua kushuka leo, wala hutoweza kuhimili dhoruba yake. Mwache tu akae huko huko alipo. Siku tukifa tutaenda kumuona. Nakushauri na wewe umpe Yesu maisha yako ili siku ile atayorudi kwa mara ya pili upate nafasi ya kuketi naye katika ufalme wake.
 
Usiseme wanasayansi tunaamini.. Sema wewe mwanasayansi unaamini.. Kuna wanasayansi wengi wakubwa bado wanaamini kuna Mungu..na sababu kuu ni kwamba kuna vitu bado sayansi inashindwa kuvidadavua mfano creation..

nimesema wanasayansi tunaamini na hapa siwazungumzii "chameleon" ambao wakienda kwenye science wanajifanya wanasayansi kwa kutaka kukubali vitu kwa uthibitisho na wakirudi kwenye imani wanajifanya wana imani na kwa kupokea hadithi bila kuuliza.

hawa wapo na hawafahamiki wako kundi gani bali nazungumzia wale ambao wanataka ushahidi na sio kutishwa tu eti bora uamini mungu yupo usimkute kuliko kutoamini ukamkuta basi anasema basi yaishe mungu yupo.

huwezi kumweleza mtu anayefanya utafiti wa kisayansi akifahamu procedure za kisayansi eti mtu anawasiliana na mungu ukitaka mchumba anasema njoo akafikishe maombi yako kwa mungu na mungu ana uwezo wa kutatua kila kitu lakini tembo wametoweka huyo anayewasiliana na mungu hawezi kuongea naye alete tembo wengi zaidi akubaliane na wewe kuwa kweli unawasiliana na mungu
 
andika uzi wako kisayansi kama kweli wewe ni mwanasayansi sio bla bla bila facts zenye mifano

wabongo mkianza kupiga mikwara unaweza kudhani mnakwenda mwezini lakini kumbe hata baiskeli hamtengenezi. Science ni simple logic zinazoendana na facts basi. sio kutafuta formula usizozielewa na kubandika ukidhani ndio uanascience.
 
Mungu akiamua kushuka leo, wala hutoweza kuhimili dhoruba yake. Mwache tu akae huko huko alipo. Siku tukifa tutaenda kumuona. Nakushauri na wewe umpe Yesu maisha yako ili siku ile atayorudi kwa mara ya pili upate nafasi ya kuketi naye katika ufalme wake.

nani kakuambia kufa ni kusafiri? anyway ni kujipa matumaini
 
Back
Top Bottom