Wanapokosea wapinzani dhidi ya CCM

Wanapokosea wapinzani dhidi ya CCM

Syston

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2017
Posts
243
Reaction score
354
Katika kipindi hiki cha kampeni upinzani hawana jipya kabisa. ntawenda kwa point kama ifuatavyo.

1. Kabla ya awamu ya tano upinzani ndio walilicheka Shirika la Ndege la Tanzania ATCL kwamba ni aibu Serikali haina hata ndege moja, walibeza kuwa Shirika la reli limekufa. Awamu ya tano zimenunuliwa ndege na reli imefufuliwa. Wamekosa cha kuongea kwa sasa hawana mpango wa maendeleo ya nchi bali wana bifu na Magufuli. Hawa wakipata nchi ndio wataanza kujiuliza afanye nini.

2. Leo mvua iliyonyesha haikuwa ya kawaida bali mafuriko, cha ajabu Zitto Kabwe amepost akidhihaki juhudi za ujenzi wa miundombinu iliyofanywa na serikali ya awamu ya 5. Huko ulaya mara kadhaa tumeshuhudia mafuriko yakileta maafa sasa sijajua Zitto alitaka nini ili kuzuia mafuriko.

3. Tundu Lissu ananadi uhuru, uhuru gani anaozungumzia maana kwa wananchi sidhani kama tunahitaji uhuru wa kisiasa kama wanaoutaka wao, kwa sababu ukiangalia wao wamezoea kuzua taharuki katika jamii ili wa trend.

NDUGU WATANZANIA TUPIGE KURA KWA WEREDI TUCHAGUE KIONGOZI ANAYEFAA NA SIO MTU MWENYE CHUKI NA MTU.
 
Zitto na genge lake ni matapeli wa Kisiasa, Marekani siku kama mbili zilizopita yako majimbo kwa siku kadhaa walikosa umeme na huduma nyingine kwa sababu ya huricane/kimbunga.

Majanga ya asili yamekuwa mtaji wa kampeni kwa hawa matapeli wa kisiasa Tanzania. Mungu si Athumani katukana miundombinu, nayo ikamkataa kwa ajali, hajajifunza?
 
Leo kwenye mkutano wa Chato nilikuwa nimejikalia pembeni huku nacheeka hehehe Lissu ni burdani tosha kabisa

Anyway Roho yangu inafuraha sana sana sana,...pole mleta mada niko nje ya mada

Ulikuwa unacheka jinsi alivyo kuwa akiwalaghai, abawauliza ndege mtapanda lini? yuko mwenye shda na ndege? Sasa huu si utapeli wa mchana kweupe jua likiwaka. Anataka kuwalaghai eti, eti, eti ndege faida yake kwa Tanzania na Wstanzania itaonekana kama wakiipanda. Kiongozi kama huyu si laana tula na tapeli la kutupa, huyu!
 
Ulikuwa unacheka jinsi alivyo kuwa akiwalaghai, abawauliza ndege mtapanda lini? yuko mwenye shda na ndege? Sasa huu si utapeli wa mchana kweupe jua likiwaka. Anataka kuwalaghai eti, eti, eti ndege faida yake kwa Tanzania na Wstanzania itaonekana kama wakiipanda. Kiongozi kama huyu si laana tula na tapeli la kutupa, huyu!
Sasa Mimi kufurahi imekua Nongwa?!
 
Katika makosa waliyoyofanya chadema ambayo yamewaacha watupu mbele ya wapiga kura ni kuzira bunge la bajeti kwenye "karantini" baada ya kuramba podho na baadae kuonekana wakizurura kama watoto mitaani.

Magufuli akigusa hapo inawauma wapiga kura hadi tunatamani uchaguzi uwe kesho tumalize hasira zetu kwenye sanduku! Lissu lazima arudi kwa basha lake Amsterdam!
 
Tangu lini umekuwa msemaji wa Watanzania? Unadhani ni kwanini Mkapa alitaka tume huru ili kuhakikisha uchaguzi ni huru na wa haki? Unadhani ni kwanini kuna vilio vya Watanzania wengi kura zihesabiwe kwa uwazi na hadharani. Kama wewe hutaki uhuru na haki basi usijikweze kama vile ni msemaji wa Watanzania.
Katika kipindi hiki cha kampeni upinzani hawana jipya kabisa. ntawenda kwa point kama ifuatavyo...
 
Acha uzushi wewe! Hivi kwanini mnakuwa wazushi kiasi hiki na wakati kuna ushahidi wa kutosha?
Katika makosa waliyoyofanya chadema ambayo yamewaacha watupu mbele ya wapiga kura ni kuzira bunge la bajeti kwenye "karantini" baada ya kuramba podho na baadae kuonekana wakizurura kama watoto mitaani.

Magufuli akigusa hapo inawauma wapiga kura hadi tunatamani uchaguzi uwe kesho tumalize hasira zetu kwenye sanduku! Lissu lazima arudi kwa basha lake Amsterdam!
 
Acha uzushi wewe! Hivi kwanini mnakuwa wazushi kiasi hiki na wakati kuna ushahidi wa kutosha?
na huko tutafika, subiri JPM aingie mzigoni (uhakika 99.9%)
 
Wapumbavu kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa. Eti aingie mzigoni kwani tangu 2015 alikuwa wapi? 😳 kule juu uliilamu Chadema kuhusu Katiba mpya nakuwekea hiyo clip unabadili kauli wakati kauli ya muongo kuhusu katiba unaisikia bila kificho.
na huko tutafika, subiri JPM aingie mzigoni (uhakika 99.9%)
 
Tangu lini umekuwa msemaji wa Watanzania? Unadhani ni kwanini Mkapa alitaka tume huru ili kuhakikisha uchaguzi ni huru na wa haki? Unadhani ni kwanini kuna vilio vya Watanzania wengi kura zihesabiwe kwa uwazi na hadharani. Kama wewe hutaki uhuru na haki basi usijikweze kama vile ni msemaji wa Watanzania.
Kama wa Chato wenyewe wamemuelewa Lissu itakuwa hawa wa Nanjilinji?
Hili hapa JF ni lile batch la "hela ya mboga paid" tuu

 
Katika makosa waliyoyofanya chadema ambayo yamewaacha watupu mbele ya wapiga kura ni kuzira bunge la bajeti kwenye "karantini" baada ya kuramba podho na baadae kuonekana wakizurura kama watoto mitaani.

Magufuli akigusa hapo inawauma wapiga kura hadi tunatamani uchaguzi uwe kesho tumalize hasira zetu kwenye sanduku! Lissu lazima arudi kwa basha lake Amsterdam!
Hii ndio shida ya mtoto kuzaliwa njiti.umeandika ujinga gani.
 
Hatumtaki rais dhalimu kama Meko.

Ameshakataliwa hata huko alikozaliwa. Ni muongo, katili, mnafiki na mjivuni.

Aende zake akalime viazi vitamu huko Burigi.
 
Katika kipindi hiki cha kampeni upinzani hawana jipya kabisa. ntawenda kwa point kama ifuatavyo...
Chato wamemtia adabu Lisu na oktoba 28 ni siku ya watanzania wote kuwatia adabu matapeli wakisiasa (wapinzani)
 
Chato wamemtia adabu Lisu na oktoba 28 ni siku ya watanzania wote kuwatia adabu matapeli wakisiasa (wapinzani)
Adabu gani wewe poyoyo hao mapunguani wenzako kurusha mawe ndio unaona adabu,jibuni hoja mbwa nyie
 
Zitto na genge lake ni matapeli wa Kisiasa, Marekani siku kama mbili zilizopita yako majimbo kwa siku kadhaa walikosa umeme na huduma nyingine kwa sababu ya huricane/kimbunga. Majanga ya asili yamekuwa mtaji wa kampeni kwa hawa matapeli wa kisiasa Tanzania. Mungu si Athumani katukana miundombinu, nayo ikamkataa kwa ajali, hajajifunza?
Tapeli haswaa jitu linaumwa lakini bado liko bize na propaganda
 
Back
Top Bottom