mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,410
- 3,876
Kwa hiyo we umeshaolewa??
Kwani nao bado wanajenga miundombinu? Mi nilikuwa nasikia wao walishakamilisha hayo zamani sana.Uliwahi kumsikia Trump au Obama akipiga kampeni kwa kujisifia amejenga madaraja au barabara? Kipimo cha ubora wa barabara au madaraja ni pale yanapokumbana na hali kama iliyopo ya mvua nyingi.
Asili ya muafrika hua sio kutafakari, mara nyingine ukimwambia Jambo nae analibeba na kuwaambia wengine. Mfano utaratibu wa tume kampeni mwisho saa 12 jioni , Lisu kafanya kampeni mpaka usiku saa 2. Polisi wanatekeleza majukumu yao wanawarekodi halafu wanaanza kurusha mitandaoni kulaghai umma kuwa wanafanyiwa fujo na polisi. Tundu Lisu anajisifu Ni mwanasheria mahili Sasa Kama anaijua Sheria kwa Nini Hana utii wa Sheria. Kama katika kugombea anajiona Yuko juu ya Sheria vipi akiupata huo urais? Watanzania muwe mnatafakari kwanza taarifa mnazopewa kabla mihemko haijawaponza.Tena chuki mpaka kupiga watu risasi huyo hafai kabisaAsili
Ila mautopolo anayofanya jiwe hauyaoni?Asili ya muafrika hua sio kutafakari, mara nyingine ukimwambia Jambo nae analibeba na kuwaambia wengine. Mfano utaratibu wa tume kampeni mwisho saa 12 jioni , Lisu kafanya kampeni mpaka usiku saa 2. Polisi wanatekeleza majukumu yao wanawarekodi halafu wanaanza kurusha mitandaoni kulaghai umma kuwa wanafanyiwa fujo na polisi. Tundu Lisu anajisifu Ni mwanasheria mahili Sasa Kama anaijua Sheria kwa Nini Hana utii wa Sheria. Kama katika kugombea anajiona Yuko juu ya Sheria vipi akiupata huo urais? Watanzania muwe mnatafakari kwanza taarifa mnazopewa kabla mihemko haijawaponza.
Anachokifanya Jiwe ndicho walifanya wazungu wakachuku watumwa kuwatumikisha. Hii hatua tulitakiwa tuwe tumeipita zamani sana. Nikujuze kitu ukifuatilia makampuni makubwa yenye unyeti katika uchumi wa nchi hii CEOs au CHAIRPERSON wake ni Watanzania japo makampuni ni ya kigeni na wengi wamewahi shika nyazifa kubwa serikalini. Unafahamu serikali haina hata kisima kimoja cha gesi Mtwara? Na inauziwa gesi? Kama unakumbuka wakati Jiwe anasema atajenga rufiji alipingwa sana na kina Nyepesi na wapinzani wengine kwa kuwa tu ujerumani alisema tutaharibu mazingira, haingii akilini. Eti ujerumani watuhurumie ili hali inajulikana muuza jenereta mkubwa ni yeye. Ni kweli jiwe analipiza kisasi ila kisasi chake anahakikisha waliohujumu serikali wanajuta. Ukiangalia utaona vita ya sasa ni dhidi ya Jiwe na sio chama chake.Ila mautopolo anayofanya jiwe hauyaoni?
Kama wewe huna cha kusema, usiseme uhuru wa kusema hauna maana.wananchi sidhani kama tunahitaji uhuru wa kisiasa kama wanaoutaka wao
Umeona hilo tu unyanyasaji unafanywa na polisiccm dhidi ya chadema wewe hauuoni?Asili ya muafrika hua sio kutafakari, mara nyingine ukimwambia Jambo nae analibeba na kuwaambia wengine. Mfano utaratibu wa tume kampeni mwisho saa 12 jioni , Lisu kafanya kampeni mpaka usiku saa 2. Polisi wanatekeleza majukumu yao wanawarekodi halafu wanaanza kurusha mitandaoni kulaghai umma kuwa wanafanyiwa fujo na polisi. Tundu Lisu anajisifu Ni mwanasheria mahili Sasa Kama anaijua Sheria kwa Nini Hana utii wa Sheria. Kama katika kugombea anajiona Yuko juu ya Sheria vipi akiupata huo urais? Watanzania muwe mnatafakari kwanza taarifa mnazopewa kabla mihemko haijawaponza.
Katika kipindi hiki cha kampeni upinzani hawana jipya kabisa. ntawenda kwa point kama ifuatavyo.
1. Kabla ya awamu ya tano upinzani ndio walilicheka Shirika la Ndege la Tanzania ATCL kwamba ni aibu Serikali haina hata ndege moja, walibeza kuwa Shirika la reli limekufa. Awamu ya tano zimenunuliwa ndege na reli imefufuliwa. Wamekosa cha kuongea kwa sasa hawana mpango wa maendeleo ya nchi bali wana bifu na Magufuli. Hawa wakipata nchi ndio wataanza kujiuliza afanye nini.
2. Leo mvua iliyonyesha haikuwa ya kawaida bali mafuriko, cha ajabu Zitto Kabwe amepost akidhihaki juhudi za ujenzi wa miundombinu iliyofanywa na serikali ya awamu ya 5. Huko ulaya mara kadhaa tumeshuhudia mafuriko yakileta maafa sasa sijajua Zitto alitaka nini ili kuzuia mafuriko.
3. Tundu Lissu ananadi uhuru, uhuru gani anaozungumzia maana kwa wananchi sidhani kama tunahitaji uhuru wa kisiasa kama wanaoutaka wao, kwa sababu ukiangalia wao wamezoea kuzua taharuki katika jamii ili wa trend.
NDUGU WATANZANIA TUPIGE KURA KWA WEREDI TUCHAGUE KIONGOZI ANAYEFAA NA SIO MTU MWENYE CHUKI NA MTU.
Tundu lissu ana chuki na nani..wacha upumba wakooo..wewe ungekuw karney hali umekuwa his leo...tungekuwa tumekuzika siku nyingiKatika kipindi hiki cha kampeni upinzani hawana jipya kabisa. ntawenda kwa point kama ifuatavyo.
1. Kabla ya awamu ya tano upinzani ndio walilicheka Shirika la Ndege la Tanzania ATCL kwamba ni aibu Serikali haina hata ndege moja, walibeza kuwa Shirika la reli limekufa. Awamu ya tano zimenunuliwa ndege na reli imefufuliwa. Wamekosa cha kuongea kwa sasa hawana mpango wa maendeleo ya nchi bali wana bifu na Magufuli. Hawa wakipata nchi ndio wataanza kujiuliza afanye nini.
2. Leo mvua iliyonyesha haikuwa ya kawaida bali mafuriko, cha ajabu Zitto Kabwe amepost akidhihaki juhudi za ujenzi wa miundombinu iliyofanywa na serikali ya awamu ya 5. Huko ulaya mara kadhaa tumeshuhudia mafuriko yakileta maafa sasa sijajua Zitto alitaka nini ili kuzuia mafuriko.
3. Tundu Lissu ananadi uhuru, uhuru gani anaozungumzia maana kwa wananchi sidhani kama tunahitaji uhuru wa kisiasa kama wanaoutaka wao, kwa sababu ukiangalia wao wamezoea kuzua taharuki katika jamii ili wa trend.
NDUGU WATANZANIA TUPIGE KURA KWA WEREDI TUCHAGUE KIONGOZI ANAYEFAA NA SIO MTU MWENYE CHUKI NA MTU.
Kama mzee baba n Corona?Zitto na genge lake ni matapeli wa Kisiasa, Marekani siku kama mbili zilizopita yako majimbo kwa siku kadhaa walikosa umeme na huduma nyingine kwa sababu ya huricane/kimbunga.
Majanga ya asili yamekuwa mtaji wa kampeni kwa hawa matapeli wa kisiasa Tanzania. Mungu si Athumani katukana miundombinu, nayo ikamkataa kwa ajali, hajajifunza?