Wanapata wapi ujasiri wa kutuomba Hela?

Na nyie mkiomba Gemu vp?
 
huo ujasiri unakuja automatically kama unavyoona mtu anazaliwa ana macho,miguu,nywele nk
 
Papuchi kwa pesa au sio?
Yes!!!!!!
Kila mtu apate anachokipenda, kama nyie mlivyo mstari wa mbele kuomba tamu vivyo hivyo na wenzenu walivyo mstari wa mbele kuomba pesa, ukipewa unafurahia usisite kurejesha, muache ubinafsi kwa wenzenu
 

Dah
Umetumia nguvu saana kujitetea........

Nataka nikutumie nauli
 
Kuhonga ni moyo,ugumu ni kipaji
 
Hivi nini maana ya kuhonga... Kwanini uite kuhonga?
Bebe ana kitu ama vitu ambavyo kila mwanamume anivitaka kutoka kwake.. Kwanini asimpe yule na yule na huyu anayekuja na kukitaka..tena free kabisa.. Nafkiri mwanamke akitoka nje akasema nataka mtu wa kulala nae wanaume kumi watakuja... Ila mwanaume zaidi ya kutaka itabidi ufanye jitihada za ziada! Auhongi unalinda heshima yako..
 
 
Pole sana mkuu, mm hiyo tabia nimeikomesha na sitaki kuwa na kupe hususani kipindi hiki cha magu

Kuna kakupe kamoja nilikuwa nacho previous nikaona kakazoea na kuanza maneno ya kejeli nisipokatumia hela mara ooh siku hizi hunipi care kama zaman

Nilikapiga chini nikablock no zake nikatafuta mfanyakaz sasa mambo safi siombwi chochote zaidi ya mgegedo tu labda nijisikie kumnunulia zawadi ila hela hataki. Sasa naishi kama peponi japo shida za kidunia zipo
 

Reasoning yako is somehow wrong, kwahivyo sisi wanaume tukiwatongoza nyie ni kama tunatangaza udhaifu wetu, bhas ndo kwamfano wanaume wote tuache kuwatongoza, nyie ndo mtutongoze hapo ndo mtaona favor tunayowapa tukiwatongoza

Hlf kingine sio kila demu anaepiga mizinga ni kwamba umemtongoza, au una nia ya kumtongoza, mwingine ukimzoea kidogo tu bhas ataanza kukushushia shida hizo, mara ninunulie hiki, Mara kile GREENER
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…