tembea na kioo cha kijiangalia , akikupiga full unakiweka mbele apate reflection yake mwenyewe tena unamuelekezea machoni, mm nimefanya ivyo wanazima haraka sana
kiukweli hili swala hata mimi lina nikela sana.
tatizo watu baadhi ya madereva hawajui matumizi ya taa. Kuna hizi taa nyeupe ndio zinaumiza balaa yani kama ulikuwa kwenye kona mkatana na yupo full light anakupoteza kabisa...
KWA MIMI nafikiri kutembea full light sio kosa ila inshu je hiyo full light unaitumia sahihi?
na hili huwa lina tunatokea sana sans kwa waendeshaji magari magodo, wengi wana shidwa kutumia hizii taa na baadhi hata ukimwonyesha ishara ya kuwa apunguze hapunguzi.
HAKIKA INAKELA
Kwanza nionavyo mimi tatizo hili lipo sehemu mbili kuu ya kwanza ni adjustments za taa zenyewe kwani wengi wa madereva hawajui taa ziko sawa na zinamulika kama zilivyotengenezwa? Maana kuna gari zingine ukipanda unashangaa zinamulika angani utafikiri ni ndege, zingine zinamulika pembeni ya barabara utafikiri anawinda. Hapa ushauri ni wangu kama una gari sogeza karibu na ukuta washa taa za gari na uangalie zinamulika straight kama la rekebisha ukishindwa peleka kwa mechanic arekebishe. La pili ambapo ni kwa madereva wanaotumia full light kila wakati hilo ni kosa kubwa lakini hilo ni jukumu la traffic kuwasimamisha na kuwatuma hospital wakapime macho. Amini usiamini wengi wa madereva wanaowasha full hawaoni vizuri. Jiulize ni wangapi humu wamewahi kujitolea tu kupima macho kwa optician. Think big
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.