Kifaranga
Senior Member
- Jan 6, 2011
- 144
- 31
Habari za jioni waheshimiwa, mo naomba bunge lijalo lipitishe sheria kali kwa wale wanaowasha taa full wakati wa usiku kwani huwa zinaumiza sana, kitu ambacho kinaweza kusababisha kutokuona vizuri na wakati mwingine ajali.
Unakuta madereva wengine wanawasha taa kali kama vile wanawinda maporini usiku. Huwa inakera sana wajameni.
Au kama sheria ipo tafadhali nijulishwe hatua za kufuata.
Ni hayo tuu kwa leo, nawasilisha ....
Unakuta madereva wengine wanawasha taa kali kama vile wanawinda maporini usiku. Huwa inakera sana wajameni.
Au kama sheria ipo tafadhali nijulishwe hatua za kufuata.
Ni hayo tuu kwa leo, nawasilisha ....