Mie nadhani wanapaswa kujitafakari upya! Haya wanayoyasema ni kuendelea kuukuza mgogoro. Mwenye Busara aangukapo husimama,akafuta vumbi, akaangalia kilichomwangusha, na kisha kusonga mbele! Itakuwa ni busara kama watajiuliza hii hali imetokana na nini hadi wachukiwe na wananchi, ni nini kinasababisha leo watu wafurahie maswahibu yanayowapata polisi!
Busara busara busara!
Busara busara busara!