Kwa hali inayoendelea hivi Tanzania inatia shaka bado miaka mitatu kufika uchaguzi mkuu wa uraisi na wabunge 2015, lakini kila kukicha mapya yanajitokeza kwa watu kutaganza nia ya watu kujitangazia kuwa na sifa za kuutaka uraisi, mmoja alisema anasubiri Mungu amuoteshe na kudhihirisha akasema ana maadui 11 ambao 2016 mara baada ya kuoteshwa watakibiria kenya, hiyo inaonyesha dhamira iliyojificha na ulipaji visasi, bado kuna magwinji mengine ambayo yalishaanza harakati zamani kama EL, SS, FS, ambao wanamitandao ndani ya chama chao cha chukua chako mapema.
Ukija kwa upande wa CDM nako mambo yameanza kupamba moto mara nina sifa za kuwa amri jeshi mkuu wa nchi ili hali hata familia hana , mara kiongozi mkuu wa chama anataka, mara mheshimiwa Dr. Slaa, vile vile inetokea wengine wanasema tangu uhuru hatujatoa raisi wakati tuna uwezo, mara tunataka mwislam.
Hizi sio ishara nzuri vile vile kiongozi ambaye nimzuri sio lazima ajipe sifa mwenyewe kuwa anaweza kusema hivyo vyote alivyokuwa anafanya ni unafiki , vile kiongozi kuweza kumpita na kusema ni mwadilifu na mzalendo lazima awe amefanya kazi na kudhibitisha hilo bila shaka na sio kuongea na kukosoa tu, mfano bunge lililopita kilango, mwakembe, ole sendeka, sita tulifikiri ni wazalendo wanatetea watanzania lakini leo hii sio, vile vile zito kasi yake sio ile.
kwa hali hiyo tusidanganyike na porojo za kuwa naweza ili hali ni njaa tu. Kwa hali tuliyonayo na kuangalia ukomavu wa siasa Dr. Magufuli anafaa kuwa raisi ila sio kupitia CCM. Anasifa na amedhihilisha kwa kuwa na misimamo akiwa serikalini , sio mdini, mkanda wala mjenga mitandao.
Ukija kwa upande wa CDM nako mambo yameanza kupamba moto mara nina sifa za kuwa amri jeshi mkuu wa nchi ili hali hata familia hana , mara kiongozi mkuu wa chama anataka, mara mheshimiwa Dr. Slaa, vile vile inetokea wengine wanasema tangu uhuru hatujatoa raisi wakati tuna uwezo, mara tunataka mwislam.
Hizi sio ishara nzuri vile vile kiongozi ambaye nimzuri sio lazima ajipe sifa mwenyewe kuwa anaweza kusema hivyo vyote alivyokuwa anafanya ni unafiki , vile kiongozi kuweza kumpita na kusema ni mwadilifu na mzalendo lazima awe amefanya kazi na kudhibitisha hilo bila shaka na sio kuongea na kukosoa tu, mfano bunge lililopita kilango, mwakembe, ole sendeka, sita tulifikiri ni wazalendo wanatetea watanzania lakini leo hii sio, vile vile zito kasi yake sio ile.
kwa hali hiyo tusidanganyike na porojo za kuwa naweza ili hali ni njaa tu. Kwa hali tuliyonayo na kuangalia ukomavu wa siasa Dr. Magufuli anafaa kuwa raisi ila sio kupitia CCM. Anasifa na amedhihilisha kwa kuwa na misimamo akiwa serikalini , sio mdini, mkanda wala mjenga mitandao.