jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Kwa kuwa tumeisifia sana tabia ya rais aliyeko madarakani ya kuomba omba, ina ashiria kuwa kuomba kunainufaisha sana nchi yetu, kwa msingi huo naona kabisa potential candidate anakuwa "MATONYA"
Ni mbunifu katika kuomba!
Ni mstahamilivu anapoomba!
Anaushawishi mkubwa, inakuwa rahisi kumhurumia!
Anajua pa kuomba!!
Tumuunge mkono MATONYA tuachane na kina zito wazito haoooooo.
Ni mbunifu katika kuomba!
Ni mstahamilivu anapoomba!
Anaushawishi mkubwa, inakuwa rahisi kumhurumia!
Anajua pa kuomba!!
Tumuunge mkono MATONYA tuachane na kina zito wazito haoooooo.